Friday, February 10, 2017

Waziri Mahiga atembelewa na wageni mjini Dodoma

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Augustine Mahiga akiwa katika mazungumzo na Mbunge wa Bunge la Umoja wa Ulaya, Mhe. David Martin katika Ofisi za Wizara mjini Dodoma.


Mazungumzo yanaendelea

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Augustine Mahiga akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Mhe. Sarah Cooke katika ofisi za Wizara mjini Dodoma

Mhe. Waziri Mahiga akiagana na Balozi Cooke baada ya kukamilika kwa mazungumzo yao.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.