Wednesday, March 14, 2018

Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa akutana na Katibu Mkuu wa WTO


Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa, Mhe. Samwel Shelukindo akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Shirika la Biashara Duniani (WTO), Bw. Zurab Pololikashvili. Balozi Shelukindo alikutana na kufanya mazungumzo na Bw. Pololikashvili ambapo pamoja na mambo mengine walizungumzia uwezekano wa Shirika hilo kusaidia miradi mbalimbali hapa nchini.
Balozi Shelukindo na wajumbe wengine


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.