Tuesday, March 6, 2018

Naibu Katibu Mkuu akutana kwa mazungumzo na Balozi wa Uholanzi nchini

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Ramadhan M. Mwinyi akizungumza na Balozi wa Uholanzi nchini, Mhe. Jeroen Verheul. Katika mazungumzo yao walisisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Uholanzi. Mazungumzo hayo yamefanyika Wizarani tarehe 06 Machi, 2018
Maafisa Mambo ya Nje kutoka Idara ya Ulaya na Amerika wakinukuu mazungumzo. Kutoka kushoto ni Bw. Hassani Mwamweta na Bw. Anthony Mtafya.
Mazungumzo yakiendelea
Balozi Mwinyi akiagana na Balozi Verheul

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.