Thursday, March 8, 2018

Waziri wa Viwanda na Biashara Bw. Charles Mwijage ampokea Mkurugenzi Mkuu wa UNIDO

Waziri wa Viwanda na Biashara Charles Mwijage (katikati), akimpokea Mkurugenzi Mkuu wa UNIDO Bw. Li Young, mara baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Bw. Young ambaye yupo nchini kwa ziara ya siku tatu. 
Bw. Li Young anatarajia kukutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Augustino Mahiga (Mb.) hayupo pichani, Waziri wa Fedha Mhe. Philip Mpango (Mb.).
Mhe. Mwijage akifurahia jambo na Li Young.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.