Thursday, March 8, 2018

Mheshimiwa Waziri Mahiga amkaraibisha nchini Mkurugenzi Mkuu wa UNIDO


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Augustine Mahiga akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa UNIDO alipowasili katika hafla ya jioni iliyoandaliwa na mwenyeji wake Waziri Mahiga katika Hotel ya Hyatt Regency, Dar es Salaam, tarehe 07 Machi, 2018. Anayeangalia pembeni yao ni Bw. Stephen Kargbo Mwakilishi wa UNIDO nchini. 

Mheshimiwa Waziri Mahiga akiongea kwenye hafla hiyo
Mkurugenzi Mkuu wa UNIDO Bw. Li Young (Kulia) na Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Bw. Alvaro Rodriguez wakiwa katika hafla hiyo
Mhe. Waziri Mwijage (Kulia) akiwa na Balozi wa China nchini  Mhe.Wang Ke.
Mkurugenzi Mkuu wa UNIDO Bw. Li Young akiongea katika hafla hiyo
Sehemu ya wageni wakifuatilia hafla hiyo
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Jestas Nyamanga ( wa kwanza Kulia)  na wengine ni Watumishi wa Wizara wakifuatilia hafla.

Bi Ramla Hamisi akitoa utaratibu wa hafla hiyo




No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.