Wednesday, October 30, 2019

BENKI YA MAENDELEO YA AFRIKA (AfDB) KUIPATIA TANZANIA ZAIDI YA SHILINGI TRILIONI MOJA KWA AJILI YA UJENZI WA UWANJA WA NDEGE WA MSALATO NA BARABARA MZUNGUKO

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba  John Kabudi (Mb) akisalimiana na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinwumi Adesina Makao Makuu ya Benki hiyo yaliyopo Abidjan Nchini Ivory Coast.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba  John Kabudi (Mb) akiwa katika mazungumzo na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinwumi Adesina. Mazungumzo hayo yamefanyika Makao Makuu ya Benki hiyo yaliyopo Abidjan Nchini Ivory Coast.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba  John Kabudi (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinwumi Adesina,mara baada mazungumzo yaliyofanyika Makao Makuu ya Benki hiyo yaliyopo Abidjan Nchini Ivory Coast.Wengine katika picha ni viongozi wa AfDB na Afisa kutoka Wizara ya Fedha na Mipango wa Tanzania.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.