Tuesday, October 15, 2019

PROF KABUDI KATIKA KONGAMANO LA MIAKA 20 BILA NYERERE - UDSM

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb), akitoa hotuba yake wakati akifungua kongamano la miaka 20 bila Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julias Nyerere katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Katika Kongamano hilo, Waziri Kabudi amemuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.  
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally (kushoto) Spika wa Bunge Mstaafu, Anne Makinda pamoja na viongozi wengine wa Serikali na wastaafu wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb), katika kongamano la miaka 20 bila Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julias Nyerere katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam


Baadhi ya washiriki wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb), katika kongamano la miaka 20 bila Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julias Nyerere katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.