Monday, December 23, 2019

Wizara Yapanda Miti kufuatia Mvua Zinazonyesha Dodoma

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Faraji K. Mnyepe akipanda mti katika ofisi za Wizara zilizopo Mtumba, Ddodoma. Katibu Mkuu aliongoza Wakuu wa Idara/Vitengo na watumishi kupanda miti kwa awamu ya pili kufuatia mvua kubwa zinazonyesha mjini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Faraji K. Mnyepe akiendelea na shughuli ya kupanda mti

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Faraji K. Mnyepe akifukia mchanga katika shimo alilopanda mti

Mkurugenzi wa Idara ya Siasa, Ulinzi na Usalama katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Stephen P. Mbundi akipanda mti

Mkaguzi Mkuu wa Ndani, Bw. Japhary Kachenje akipanda Mti

Afisa kutoka Idara ya Asia na Australasia skipanda mti.

Bi. Ellen Maduhu kutoka Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa akipanda mti wake.

Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria, Bibi. Caroline Chipeta akipanda mti

Bw. Ali Ubwa kutoka Idara ya Afrika naye akipanda mti

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.