Saturday, May 1, 2021

MATUKIO KATIKA PICHA: WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE WASHIRIKI MEI MOSI, DODOMA

Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, wameungana na Wafanyakazi wengine wa Wizara, Taasisi, Mashirika na Sekta binafsi  kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani  iliyofanyika katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.  

Maadhimisho hayo yameongozwa na Mkuu wa Mkoa  wa Dodoma Mhe. Dkt. Binilith Mahenge akiambatana  na Viongozi na Watendaji wengine wa Serikali.
Sehemu ya Watumishi wa Wizara wakiwa katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani jijini Dodoma
Sehemu ya Watumishi wa Wizara wakiwa katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani jijini Dodoma
Sehemu nyingine Watumishi wa Wizara wakiwa katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani jijini Dodoma
Sehemu nyingine Watumishi wa Wizara wakiwa katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani jijini Dodoma
Sehemu nyingine Watumishi wa Wizara wakiwa katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani jijini Dodoma
 Watumishi wa Wizara wakiwa katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma
Watumishi wa Wizara wakiwa katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.