Thursday, May 6, 2021

RAIS SAMIA NA UJUMBE WAKE WAREJEA NYUMBANI



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe, Uhuru Kenyatta wakati akielekea kupanda Ndege kurejea nchini mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili  nchini Kenya tarehe 05 Mei, 2021.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe, Uhuru Kenyatta wakati akielekea kupanda Ndege kurejea nchini mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili  nchini Kenya tarehe 05 Mei, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akimshukuru Rais wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta alipomsindikiza mara

baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili nchini Kenya tarehe 05 Mei, 2021. PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.