Thursday, February 23, 2023

BALOZI FATMA AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA QATAR

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Fatma Rajab amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Qatar nchini Mhe. Hussain Ahmad Al – Homaid katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam. 

Katika mazungumzo yao, viongozi hao wamejadili masuala mbalimbali hususani ya kuimarisha ushirikiano baina ya Tanzania na Qartar ambapo Balozi Fatma amemhakikishia Balozi wa Qatar kuwa Tanzania itaendelea kushirikiana na Qatar kwenye maeneo mbalimbali ikiwemo viwanda, biashara na uwekezaji.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Fatma Rajab akizungumza na Balozi wa Qatar nchini Mhe. Hussain Ahmad Al – Homaid wakati wa mazungumzo yao yaliyofanyika katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Fatma Rajab akimsikiliza Balozi wa Qatar nchini Mhe. Hussain Ahmad Al – Homaid wakati wa mazungumzo yao yaliyofanyika katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam

Mazungumzo baina ya Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Fatma Rajab na Balozi wa Qatar nchini Mhe. Hussain Ahmad Al – Homaid yakiendelea katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam

Mazungumzo baina ya Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Fatma Rajab na Balozi wa Qatar nchini Mhe. Hussain Ahmad Al – Homaid yakiendelea katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Fatma Rajab katika picha ya pamoja na Balozi wa Qatar nchini Mhe. Hussain Ahmad Al – Homaid yakiendelea katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.