Tuesday, February 14, 2023

TANZANIA, COMORO KUANZIASHA TUME YA KUDUMU YA PAMOJA

 



Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Comoro, Mhe. Dhoihir Dhoulkamal wakisaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) wa kuanzisha Tume ya Kudumu ya Pamoja kati ya nchi hizo mbili.  Mkataba huo umesainiwa katika Ubalozi wa Tanzania, Addis Ababa, Ethiopia.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Comoro, Mhe. Dhoihir Dhoulkamal wakionesha Mkataba wa Makubaliano (MoU) uliosainiwa kwa ajili ya kuanzisha Tume ya Kudumu ya Pamoja kati ya nchi hizo mbili. Mkataba huo umesainiwa katika Ubalozi wa Tanzania, Addis Ababa, Ethiopia.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Comoro, Mhe. Dhoihir Dhoulkamal wakionesha Mkataba wa Makubaliano (MoU) uliosainiwa kwa ajili ya kuanzisha Tume ya Kudumu ya Pamoja kati ya nchi hizo mbili. Mkataba huo umesainiwa katika Ubalozi wa Tanzania, Addis Ababa, Ethiopia.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax na Waziri wa Mambo ya Nje wa Comoro, Mhe. Dhoihir Dhoulkamal wakipongezana baada ya kusaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) kwa ajili ya kuanzisha Tume ya Kudumu ya Pamoja kati ya nchi hizo mbili. Mkataba huo umesainiwa katika Ubalozi wa Tanzania, Addis Ababa, Ethiopia.


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax katika picha ya pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Comoro, Mhe. Dhoihir Dhoulkamal baada ya kusaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) wa kuanzisha Tume ya Kudumu ya Pamoja kati ya nchi hizo mbili. Mkataba huo umesainiwa katika Ubalozi wa Tanzania, Addis Ababa, Ethiopia.


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax na Waziri wa Mambo ya Nje wa Comoro, Mhe. Dhoihir Dhoulkamal katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali kutoka Tanzania na Comoro baada ya kusaini Mkataba wa kuanzisha Tume ya Kudumu ya Pamoja kati ya Tanzania na Comoro. Mkataba huo umesainiwa katika Ubalozi wa Tanzania, Addis Ababa, Ethiopia.



No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.