Wednesday, February 1, 2023

BALOZI LUVANDA AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO, NEW ZEALAND

Balozi wa Tanzania nchini New Zealand mwenye makazi yake Tokyo, Japan, Mhe. Baraka Luvanda akisalimiana na Gavana Jenerali na Amiri Jeshi Mkuu wa New Zealand, Mhe. Cindy Kiro kabla ya zoezi la kuwasilisha Hati za Utambulisho lililofanyika tarehe 31 Januari 2023. 

Balozi wa Tanzania nchini New Zealand mwenye makazi yake Tokyo, Japan, Mhe. Baraka Luvanda akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Gavana Jenerali na Amiri Jeshi Mkuu wa New Zealand, Mhe. Cindy Kiro kwenye hafla iliyofanyika kwenye makazi ya Gavana huyo tarehe 31 Januari 2023. 

Balozi wa Tanzania nchini New Zealand mwenye makazi yake Tokyo, Japan, Mhe. Baraka Luvanda akiweka saini Kitabu cha Wageni alipowasili kwenye Makazi ya Gavana Jenerali na Amiri Jeshi Mkuu wa New Zealand, Mhe. Cindy Kiro kuwasilisha Hati za Utambulisho 

Balozi wa Tanzania nchini New Zealand mwenye makazi yake Tokyo, Japan, Mhe. Baraka Luvanda (wa tatu kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Gavana Jenerali na Amiri Jeshi Mkuu wa New Zealand, Mhe. Cindy Kiro (katikati) baada ya hafla ya kuwasilisha Hati za Utambulisho iliyofanyika kwenye makazi ya Gavana huyo tarehe 31 Januari 2023. 

 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.