Saturday, July 14, 2012

Ujumbe wa Tanzania kwenye Mkutano wa Umoja wa Afrika






Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania akisikiliza kikao cha Amani na Usalama cha umoja wa Afrika leo katika Makao Makuu ya Umoja huo Addis Ababa Ethiopia. Mhe Rais Kikwete anaongoza ujumbe wa Tanzania katika umoja huu.


Balozi wa Tanzania kwenye Umoja wa Afrika, Balozi Joram Mkama Biswaro akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Malawi, Mhe Mganda Chiume (MB.) walipokutano katika Mkutano unaoendelea wa wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika hapa Addis Ababa Ethiopia.Wa kwanza kulia ni katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Malawi.

Jengo Jipya la Umoja wa Afrika ambapo Mkutano wa Wakuu wa nchi na Serikali wa Umoja huo wanahudhuria.


President Kikwete arrives in Addis Ababa for the AU Summit

H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, the President of the united Republc of Tanzani arrived today in Addis Ababa Ethiopia to attend the 19th Ordinary Session of the African Union Heads of State and Government Summit.

This Morning, the President is expecting to attend the Peace and Security Council (PSC) meeting at the level of Heads of State and Government at the Plenary Hall of the AU Conference Center (Old Building).Tanzania is a member of the AU's Peace and Security Council.

The meeting will consider the following items:

- Report of the Chairperson of the Commission on the situation in Mali
- Report of the Chairperson of the Commission on the follow-up to the PSC Communiqué of 24 April 2012 on the situation between Sudan and South Sudan

Tuesday, July 10, 2012

Farewell Luncheon to High Commissioner of Mozambique


Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Cooperation bids farewell to H.E. Ambassador Amour Zacarias Kupela, High Commissioner of Mozambique to the United Republic of Tanzania, during the Luncheon hosted by the Minister at the Hyatt Regency Hotel in Dar es Salaam. 


Mr. John M. Haule (seated left), the Permanent Secretary of the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation and Ms. Zuhura Bundala (2nd left), Acting Director of the Department of Africa at the Ministry listening to Hon. Membe's remarks during the farewell luncheon for H.E. Ambassador Amour Zacarias Kupela, High Commissioner of Mozambique to Tanzania.

  
H.E. Ambassador Amour Zacarias Kupela, High Commissioner of Mozambique to Tanzania, gives his remarks during the farewell luncheon hosted by Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Cooperation.


Distinguished guests during the Farewell Luncheon, that included H.E. Ambassador Juma Mpango (right), Dean for the Diplomatic Corps and Ambassador of Democratic Republic of Congo to Tanzania.


Hon. Membe presenting a special gift of Mount Kilimanjaro paint to Ambassador Kupela. 


Ambassador Dora Msechu, Director of Europe and America in conversation with High Commissioner of Burundi to Tanzania (left), Ambassador Juma Mpango (2nd left) and Mr. Shilla, Acting Director of the Department of Multilateral Cooperation.


Ambassador Simba Yahya, Director of Department of Middle East in light conversation with H.E. Hossam Moharam, Ambassador of Egypt to Tanzania. 


Ambassador Mpango in light conversation with Ambassador Semu Somi.


 
Hon. Membe bids farewell to Ambassador Kupela.




Mr. Haule in candid conversation with Ambassador Mpango.


Ambassador Bertha Semu Somi says her goodbyes to Ambassador Kupela.



Ms. Bundala in light conversation with Ambassador Mpango.


A group photo of the outgoing Mozambique Ambassador Kupela (front-center), Ambassador Semu Somi (right), Ms. Bundala (left).  Others on the photo are Ambassador Simba (back-left), Ms. Fatma Rajab (center)  and Mr. Assah Mwambene (back-right).

Mhe. Dkt. Asha-Rose Migiro arejea nchini


Baadhi ya Mabalozi, Wahadhiri na Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam pamoja na wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wakiwa wamejipanga kumpokea Dr. Asha Rose Migiro.


Mhe. Dkt. Asha-Rose Migiro aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa akiteremka katika gari lililofika kumpokea mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam jana akitokea New York, Marekani baada ya kumaliza muda wake wa kazi katika Umoja huo.


Mhe. Dkt. Migiro akisalimiana na baadhi ya Wakururugenzi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa walipofika kumpokea uwanjani hapo jana.



Mhe. Dkt. Migiro akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani)  mara baada ya kuwasili nchini. Kulia kwake ni Mhe. Membe na kushoto ni Dkt. Alberic Kacou, Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa hapa nchini.

Dr. Asha Rose Migiro (katikati) akiteta jambo Waziri Membe sambamba na Viongozi mbalimbali wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini wakiongozwa na Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Dr. Alberi Kacou (kushoto) waliofika kumlaki katika Uwanja wa Ndege wa Mwl. J.K Nyerere.

Mahojiano kati ya bloggers wa DC na Mhe. Bernard Membe Part II

Monday, July 9, 2012

Rais Kikwete akabidhi Tuzo ya Heshima ya Juu ya Burundi

Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo amemkabidhi Mama Maria Nyerere Tuzo ya Juu ya Heshima ya Taifa la Burundi aliyotunukiwa Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.  Tuzo hiyo ilitunukiwa wakati wa maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru wa Burundi yaliyofanyika mjini Bujumbura wiki iliyopita.   Mwalimu Nyerere alitunukiwa tuzo hiyo kwa mchango wake wakati wa harakati kupigania uhuru wa Burundi ambapo alikuwa mshauri wa karibu wa Waziri Mkuu wa Kwanza wa nchi hiyo ya Prince Louis Rwagasore.   (Picha na Freddy Maro)


Sunday, July 8, 2012

...Final activities at Sabasaba

Mr. Mboyi, Minister Plenipotentiary and Acting Director for the Department of Policy and Planning at the Ministry, having a one-on-one discussion with one of the visitors, explaining about budget process, economic diplomacy and responsibilities for our embassies abroard.  


Mr. Joseph Mwasota from the Department of Policy and Planning at the Ministry, explaining to a visitor about how economic diplomacy works.  


Ms. Tagie Daisy Mwakawago, Communication Officer at the Ministry answers various questions from one of the studious visitors at the Ministry's Exhibition.

Mr. Hassan Abbas, Senior Communication Officer for the African Peer Review Mechanism (APRM-Tanzania), providing the Ministry's brochure to one of the visitors during the Ministry's Exhibition Show at Sabasaba's 36th Dar es Salaam International Trade Fair.


Ms. Baraba of the Ministry explaining employment qualifications for the Ministry.


Ms. Baraba of the Ministry of Foreign Affairs (2nd right) and Mr. Abbas of APRM, answering various questions from visitors that include foreign scholarships, employment opportunities at the Ministry and how peer review mechanism works.


Ms. Praxida of APRM explaining the four thematic areas of peer review mechanism.  

  
Mr. Rodney Thadeus, Protocol and Public Relations Officer of the Arusha International Conference Centre (AICC) explaining various services provided by AICC to various visitors who visited the Ministry's exhibition.  Our exhibition was visited by all age groups, from young kids, students, working professionals, homemakers and senior citizens.


Ms. Baraba answering few questions from visitors about the process of joining the Centre for Foreign Relations (CFR), and how to become employed at the Ministry.  The CFR is currently accepting application for Diploma and Postgraduate degree, with deadline set for July 28, 2012.


Ms. Tagie Daisy Mwakawago, Communication Officer at the Ministry, answering various questions to some visitors who visited the Ministry's exhibition.



A group photo before saying goodbyes after the Official Closing Ceremony hosted by Hon. Dr. Abdallah Kigoda (MP), Minister for Industry and Trade.  From left is Mr. Rodney Thadeus of AICC, Ms. Tagie Daisy Mwakawago (2nd left), Mr. Hassan Abbas of APRM-Tanzania (3rd left), Mr. Andes Richard (2nd right), and Mr. Itikija Mbarouk of APRM.


Last minute brochure handouts before closing.  From 1st left Mr. Abbas of APRM-Tanzania and Mr. Andes Richard of AICC (orange shirt).


Another group photo


Laughters and goodbyes before closing.



The Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation, in collaboration with its institutions - the Centre for Foreign Relations (CFR), the African Peer Review Mechanism (APRM-Tanzania) and the Arusha International Conference Centre (AICC), today finished its exhibition show held from June 28 through July 8, 2012 at Mwalimu Julius K. Nyerere (Sabasaba) Fair Ground, Kilwa Road in Dar es Salaam.

Our Ministry was visited by people of all ages that include students, teachers, business owners, homemakers, entrepreneurs and many more.   This exhibition, like others, was yet another opportunity for the Ministry to reach out to the general public and get firsthand opinions on how well informed the public is about its policies; and what opinions, recommendations or questions the general public have about the Ministry. 

Indeed, it was an opportunity to spread public diplomacy; enhancing the Ministry’s image, visibility and objectives by reaching out to people of all ages and nationalities.   For the Arusha International Conference Centre (AICC), for instance, it was an opportunity to promote business tourism services with goals to enhance national, social and economic development for the country.  On the other hand, the African Peer Review Mechanism (APRM-Tanzania) educated the public about how the peer review mechanism works in monitoring the progress of governance and good practices in four thematic areas of democracy/political governance, economic governance, corporate governance and socio-economic governance.  Lastly, for the Centre of Foreign Relations, the goal was not only to educate the public about what CFR does, but also to encourage prospective students to apply before the deadline of July 28, 2012 for those interested in taking Diploma or Postgraduate degree.

The Sabasaba exhibition marked the 36th Dar es Salaam International Trade Fair (36th DITF) where exhibitors uses it as a focal point to showcase their goods, services and ideas to the enthusiastic visitors generated locally and around the world.  The Fair acts as one-stop centre for reaching countries such as Uganda, Rwanda, Burundi, Zambia, Malawi, Zimbabwe, Botswana, Kenya and Democratic Republic of Congo, and other countries around the world. 
In addition, this year’s DITF concurrently ran with the 1st Brands of China African Showcase (Chinese Commodities Trade Fair) in the same venue, making it the first event of its kind in Africa.  In essence, exhibitions also serve as an exposure to learn from other countries, creating business relations and partnership connection.  

Balozi Mushy akutana na Balozi wa Uingereza nchini



Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy akisalimiana na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Balozi Diane Corner.










Updates on the visit of South Africa's Deputy President



The Tanzanian Vice President, Dr. Mohamed Gharib Bilal has commended the South Africa's OR Tambo Education tour programme which is aimed at enabling the country's youngsters to explore their liberation struggle heritage routes in Tanzania.

Speaking to the visiting Deputy President of South Africa, H.E Kgalema Motlanthe, the Tanzanian Vice President commended South Africa for the initiatives which he said would enable most of the new generation youngsters to keep up the spirit of what happened during the South Africa's freedom struggle era.

"it is good to see youngsters exploring their historical routes and what happened in the past. We are here partly because of our good historical connection" the Vice President told his counterpart.

Earlier, the South African Deputy President who arrived in Tanzania for the two-day working visit, told the Tanzanian Vice President that his arrival yesterday came along with the visit of 60 young people from various parts of South Africa retracing the country's liberation heritage routes in Tanzania.

For the last three years, SOMAFCO Trust of South Africa has been organising a number of education competitions inSouth Africa after which, winners of the competition get an opportunity to visit Tanzania, retracing their liberation heritage route through the OR Tambo Education Tour.

The South Africa Deputy President said he is looking forward to an opportunity to make a longer visit to Tanzania and visit Serengeti National park so to see famous wildlife migration.

The Tanzanian Vice President also called for a more enhanced bilateral ties between the two countries and invited more South African companies to invest in various investment opportunities available in Tanzania.

The two leaders emphasized the need to preserve the liberation heritage of our two countries and the African National Congress (ANC) of South Africa and the Chama cha Mapinduzi (CCM). The existing collaboration should be enhanced through exchange of visits at party to party and government to government levels. As ANC celebrates 100 years of its existance, this year also marks 20 years since Solomon Mahlangu Freedom College (SOMAFCO) in Morogoro was handed over to the government of Tanzania.

While in Tanzania, among other things, the visiting Deputy President will pay a courtesy call on the Tanzanian President Jakaya Mrisho Kikwete before flying to Morogoro to visit Vuyisile Mini-furniture Factory, Luthuli Primary School and make a guided tour to ANC-Hollande Solidarity Hospital ANC's liberation struggle heritage sites.

The visiting Deputy Presdent is expected to return tomorrow.

South Africa's Deputy President has arrived in Dar today

H.E Kgalema Motlanthe, the Deputy President of the Republic of South Africa arrived this noon for a two-day working visit to the United Republic of Tanzania.

While in Tanzania, among other things, the visiting Deputy President will pay a courtesy call on the Tanzanian President Jakaya Mrisho Kikwete before holding talks with his counterpart, Dr. mohamed Bilal.

On the second leg of his tour, the visiting Deputy President will also visit a farm, Vuyisile Mini-furniture Factory,Luthuli Primary School and make a guided tour to ANC-Hollande Solidarity Hospital before making a visit to ANC's former freedom fighter's camps at Solomon Mahlangu in Morogoro.

The visit is taking place along with OR Tambo Education Tour organsed by. SOMAFCO Trust of South Africa. SOMAFCO Trust organises edicational competitions within South Africa, whose winner gets to visit Tanzania retracing the Liberation heritage route. They have been organising this event for the kast three years.

About 60 South African Young people have are part of the Visiting Deputy President to retracing the South Africa's Liberation Heritage Route in Tanzania through the SOMAFCO initiative.

The Co-ordinator of the Project is Mr Ntokozo, who grew up a child in Mazimbu during the liberation struggle in Morogoro.

Friday, July 6, 2012

Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi

Leo asubuhi tarehe 6 Julai, 2012, Mhe. Bernard Membe(MB), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa atafungua Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Mkutano huo unafanyika katika Hoteli ya JB Belmont iliyopo Benjamin Mkapa Tower jijini Dar es salaam. Ufunguzi unaanza saa tatu kamili asubuhi. Waandishi mnakaribushwa

Mkutano wa Waziri Membe na Mabalozi wa EU na Marekani



TAARIFA KUHUSU MKUTANO WA MHE. BERNARD MEMBE (MB), WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA NA MABALOZI WA NCHI ZA UMOJA WA ULAYA NA MAREKANI PAMOJA NA WAANDISHI WA HABARI TAREHE 05 JULAI 2012

Leo tarehe 05 Julai 2012, Mhe. Bernard Kamilius Membe (Mb),Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa amekutana na Waandishi wa Habari pamoja na Mabalozi wa Nchi za Umoja wa Ulaya na Marekani hapa nchini kwa lengo la kutoa msimamo wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu kuwepo kwa uvumi kwamba Meli za Iran zimesajiliwa na kupeperusha bendera ya Tanzania kama ilivyotangazwa katika vyombo vya habari ndani na nje ya nchi.

Katika mazungumzo yake na Waandishi wa Habari na baadaye Mabalozi, Mhe. Waziri alieleza kwamba Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilipata taarifa kuhusu meli za Iran kusajiliwa na kupeperusha bendera ya Tanzania kupitia kwenye vyombo vya habari.

Alisema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ilichukua hatua ya kuitaka Mamlaka ya Usafiri wa Baharini ya Zanzibar – Zanzibar Marine Authority (ZMA) ambayo kwa Sheria Na. 3 ya mwaka 2009 ina mamlaka ya kusajili meli za Kimataifa kuchuguza tuhuma hizo na kutoa taarifa.

Aidha, aliwatanabaisha Waandishi na Mabalozi kwamba Mamlaka ya Usafiri wa Baharini Zanzibar ilichukua hatua za kumtaka Wakala wake wa kusajili meli, Kampuni ya PHILTEX yenye makao yake makuu Dubai, Falme za Kiarabu (UAE) kutoa taarifa kama kati ya meli 399 zilizosajiliwa kuna meli za Iran.

Nayo Kampuni ya PHILTEX ilitoa taarifa kuwa kati ya meli zilizosajiliwa hakuna meli hata moja ya Iran. Hata hivyo, waliongeza kuwa meli zilizosajiliwa hivi karibuni zilikuwa na usajili wa Cyprus na Malta.

Aidha, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ilimwita Balozi wa Iran nchini ili kujua kama kuna ukweli kuwa baadhi ya meli zilizosajiliwa ni za Iran. Balozi alikataa kabisa kuwa hakuna meli za Iran zilizosajiliwa Zanzibar na zinazopeperusha bendera ya Tanzania.

Taarifa hizi kutoka kwenye vyombo vya habari, Kampuni ya PHILTEX na Ubalozi wa Iran nchini zimepelekea Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufanya uchunguzi wa kina ili kuthibitisha kama kweli kuna meli za Iran zilizosajiliwa Zanzibar na zinazopeperusha bendera ya Tanzania.

Ili kupata ukweli wa tuhuma hizo, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeomba nchi za Umoja wa Ulaya na Marekani kusaidia katika uchunguzi. Mhe. Waziri, aliwakabidhi Barua za Kibalozi kuwasilisha rasmi ombi hilo.

Mhe. Waziri Membe aliwahidi waandishi wa Habari na Mabalozi hao kwamba kuwa baada ya uchunguzi kukamilika na ukweli kubainika, serikali ya Jamhuri ya Muungano itachukuwa hatua za haraka ikiwemo kufuta usajili wa meli zote zitakazogundulika kuwa ni za Iran.



Thursday, July 5, 2012

...More activities from Sabasaba

Mr. Hassan Abbas, Senior Communication Officer at the African Peer Review Mechanism (APRM - Tanzania), stopping various people on the street and invite them to visit the Ministry's Exhibition.



Mr. Abbas of APRM - Tanzania (orange shirt) and Mr. Andes Richard of the AICC (next to Mr. Abbas) handing out brochures and inviting people to visit the Ministry's Exhibition.


Mr. Peter Kabisa, retired Minister Plenipotentiary at the Ministry, stopped by at our Exhibition to give us few words of wisdom about foreign policy and economic diplomacy.


Mr. Hemedi Mgaza, Minister Counselor at Tanzania Embassy in Kinshasa, Congo (Democratic Republic) also stopped by at our Exhibition. 


Mr. Joseph Mwasota from the Department of Policy and Planning answering various questions from students about the Ministry's Foreign Policy.


Ms. Tagie Daisy Mwakawago, Communication Officer (1st right) and Mr. Joseph Mwasota (2nd right), answering various inquiries about Ministry's responsibilities.


Ms. Praxida of APRM-Tanzania and Mr. Rodney Thadeus of AICC explaining various responsibilities of their institutions to one of the visitors at the Ministry's Exhibition.


Mr. Abbas showing the Ministry's brochure to one of the visitors.  The brochure contains various pertinent information that includes Ministry's responsibilities, its contact information and the three institutions with their responsibilities, etc. 



Mr. Abbas of APRM - Tanzania continues his efforts of inviting various people to visit the Ministry's Exhibition. 


Various people who visited the Ministry's Exhibition. 


Ms. Tagie Daisy Mwakawago answering inquiries about our Embassies' abroad. 


Mr. Mwasota provides a one-on-one session with one of the visitors; taking time to explain the benefits of studying at the Centre for Foreign Relations located at Kurasini in Dar es Salaam.

Tanzania: Plans Underway to Woo Diaspora to Invest


Dodoma — THE government will continue to encourage direct investment from Tanzanians in the Diaspora as opposed to subsistence support.

Deputy Minister for Foreign Affairs and International Cooperation, Mahadhi Juma Maalim told the National Assembly here on Wednesday that the need to engage Tanzanians in Diaspora was cross cutting, saying the ministry's task was to facilitate the engagement.

He said the ministry has formed a task force of stakeholders, which involves members from his ministry, Ministry of Labour and Employment, Planning Commission, Public Service Management and National Statistics Bureau, which will be in charge of monitoring and coordinating engagement with Tanzanians in the Diaspora.

He said knowledge and skills of the Diaspora is an additional source of engagement for the country to tap in strengthening the economy.However, he said the country has no specific data of the number of Tanzanians in Diaspora but said it is believed that the number has slightly exceeded 2,000,000, living and working in different countries in the world.

Mr Maalim further said that his ministry in collaboration with the World Bank is in the process of coordinating strategies to reach every Tanzanian in the Diaspora in a bid to get their exact number. The deputy minister was responding to a question by Vicky Kamata (Special Seats - CCM), who wanted to know the number of Tanzanians in Diaspora.

In her supplementary question, Martha Mlata (Special Seats - CCM), also demanded to know why the Diaspora were not encouraged to invest at home. She wanted a special window opened, to address the role of the Diaspora community in shaping the future of Tanzania.

Responding, Mr Maalim insisted the government's commitment in galvanising the Tanzanian Diaspora of all generations in harnessing their skills, knowledge and investment in the continued economic development of the country.

Tanzanians in the Diaspora have been channelling funds back home in various informal methods which authorities can hardly monitor. Such methods include sending money through relatives, buying luxurious goods such as automobiles, laptops, cameras and mobile phones among others, which are sent home and exchanged for money.


Source:  www.allAfrica.com