Friday, October 3, 2014

Balozi Sefue kufungua rasmi Mkutano wa Baraza la DICOTA

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberata Mulamula  na Viongozi wa Baraza la Watanzania waishio Marekani (DICOTA) (hawapo pichani) mara baada ya kukutana nao Hotelini kwake kwa ajili ya kupata taarifa za maandalizi ya Mkutano wa Mwaka wa Baraza hilo atakaoufungua leo tarehe 03 Oktoba, 2014 mjini Durham, North Carolina.

Balozi Mulamula, Viongozi wa DICOTA pamoja na Maafisa kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani wakimsikiliza Balozi Sefue (hayupo pichani)


Mkutano wa Tano wa Baraza la Watanzania waishio Marekani (DICOTA 2014) kuanza rasmi mjini Durham
============================================

Na Mwandishi Wetu, Durham

Mkutano wa Tano wa Mwaka wa Baraza la Watanzania waishio Marekani (DICOTA 2014) utafunguliwa rasmi na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue tarehe 03 Oktoba, 2014 mjini Durham nchini Marekani.

Kaulimbiu ya mkutano wa mwaka huu ni “Kuwawezesha Watanzania waishio ughaibuni (Diasporas) kufikia Mabadiliko ya Kiuchumi na Kijamii Kule Waliko  na Nyumbani”.

Mkutano huu ambao utahudhuriwa na Watanzania kutoka Majimbo yote ya Marekani, Wafanyabiashara na Wawekezaji wa Kimarekani, unalenga kuwakutanisha wadau hao na wajumbe kutoka Serikalini, Taasisi za Umma na Sekta Binafsi ili kubadilishana mawazo na uzoefu na kuangalia namna bora ya kutumia fursa na rasilimali zilizopo katika kukuza uchumi na kupata maendeleo endelevu ya Jumuiya hiyo ya Diaspora na Taifa kwa ujumla.

Wakati wa Mkutano huu mada mbalimbali za ueleimishaji zitatolewa  kwa lengo la kueleza kwa kina fursa mbalimbali za uwekezaji, biashara na utalii zilizopo nchini. Mada hizo ni pamoja na Uhamiaji na Uraia, Mchakato wa Katiba mpya, Vitambulisho vya Uraia kwa Dispora, Mifuko ya Hifadhi za Jamii na Pensheni, masuala ya Ardhi na Nyumba, umuhimu wa Bandari ya Dar es Salaam kwa Diaspora, Usajili wa Makampuni na upatikanaji wa Leseni za Biashara kwa Diaspora, masuala ya Kodi, Masoko ya Mitaji na Hisa, masuala ya Nishati ya Mafuta na Gesi, Bima, Uwekezaji katika Kilimo na mada kuhusu Uchumi na Fedha zinazotumwa kutoka nje na Diaspora (Remittances).
Baraza la DICOTA lilianzishwa rasmi mwaka 2008 na kikundi cha watu 30 wakiwa na lengo la kushirikiana na Serikali na Sekta Binafsi katika kuleta maendeleo endelevu kwa kutumia ujuzi, elimu, maarifa na mitaji waliyoipata wakiwa ughaibuni. Baraza hilo linaongozwa na Dkt. Ndaga Mwakabuta na Katibu wake ni Bi. Lyungai Mbilinyi.

Mkutano wa kwanza wa DICOTA ulifanyika mwaka 2009 mjini Houston, Texas ukifuatiwa na ule wa mwaka 2010 uliofanyika mjini Minneapolis, Minnesota. Mkutano wa Tatu ulifanyika mwaka 2011 mjini Dulles, Virginia ukifuatiwa na mkutano wa mwaka 2012 uliofanyika Chicago, Illinois.

Mbali na Balozi Sefue, Viongozi Waandamizi wengine kutoka Serikalini wanaohudhuria mkutano huu ni pamoja na Mhe. Liberata Mulamula, Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Bw. Alphayo Kidata, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Bibi Rosemary Jairo, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Bi. Susan Mzee, Mshauri wa masula ya Diaspora kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu.

-mwisho-

Thursday, October 2, 2014

Balozi mpya wa Ufaransa awasilisha nakala za Hati za Utambulisho

Balozi mpya wa Ufaransa nchini Tanzania Mhe. Malika Berak akiwasilisha Nakala za Utambulisho kwa Mkuu wa Itifaki Balozi Juma Maharage  
Mhe. Beraki akiweka saini katika kitabu cha wageni
Balozi Malika Berak akizungumza na Balozi Maharage mara baada ya kuwasilsha nakala za Hati za Utambulisho
Kushoto ni mkurugenzi msaidizi Idara ya Itifaki Bw. James Bwana, kulia ni Afisa Mambo ya Nje Bi. Mona Mahecha wakifuatilia kwa makini mazungumzo kati ya Balozi Malika Berak na Balozi Maharage

Picha na Reginald Philip

PRESS RELEASE


  
  

PRESS RELEASE

H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to H.E. Joachim Gauck, President of Federal Republic of Germany on the occasion of the Unity Day of Germany. The message reads as follows:-

The message reads as follows;

“H.E. Joachim Gauck,
President of the Federal Republic of Germany,
Berlin,
GERMANY.

Your Excellency,

It gives me great pleasure, on behalf of the Government and people of the United Republic of Tanzania, and indeed on my own behalf, to extend cordial congratulations to You, the Government and people of Germany on the occasion of your country’s Unity Day.

Our historical bilateral relations are multifaceted and we cooperate in many areas such as education, energy, tourism, water and sanitation. 

On this special occasion, I wish to cherish and celebrate these excellent bilateral relations that exist between our two countries. Let me also take this opportunity to assure you that the Government of Tanzania remains committed to maintaining and consolidating these relations for the mutual benefit of the people of our two countries.

Please accept, Your Excellency, my best wishes for your good health and continued peace and prosperity for the people of Germany.


Jakaya Mrisho Kikwete
PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA


Issued by the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation of the United Republic of Tanzania
2nd October, 2014


Wednesday, October 1, 2014

Mhe. Membe Aahidi Kuendeleza Diplomasia ya Michezo


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Kamiliusi Membe (Mb.) akizungumza na baadhi ya wanamichezo walioshiriki michezo ya Jumuiya ya Madola Glasgow, Scotland mwezi Agosti, alipo kutana nao na kufanya kikao cha kutathmini matokeo ya timu ya Tanzania katika kituo cha michezo cha Filbert Bayi kilichopo Kibaha Mkuza.

Wanamichezo wakimsikiliza kwa makini Waziri Membe (Hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao.
  Viongozi mbalimbali wa vyama vya michezo wakimsikiliza                   Waziri Membe (hayupo pichani).                     
Wakwanza Kushoto ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Mambo ya Nje, Bw.Mkumbwa Ally, na wapili kutoka kushoto ni Afisa Mambo ya Nje Bw. Imani Njalikai wakifuatilia kikao kati ya Waziri Membe na wanamichezo walio shiriki michezo ya jumuiya ya madola Glasgow, Scotland. 
                                         Kikao kikiendele
  
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe (Mb.) akisaini kwenye kitabu cha wageni alipo wasili katika kituo cha Filbert Bayi kilichopo Kibaha Mkuza. 
Katikati ni Mama Bayi akielezea jambo kwa waziri Membe (wa kwanza kulia)  mara baada ya kusaini kitabu cha wageni, wakwanza kulia ni Bw. Filbert Bayi naye akisikiliza.
Bw. Filbert Bayi akimwonyesha na kumwelezea Waziri Membe Ramani ya eneo lililo na Shule ya awali, msingi, Sekondari na kituo cha michezo cha Filbert Bayi, lililopo Kibaha Mkuza.
Waziri Membe akizungumza alipokuwa akitazama kiwanja cha mpira wa miguu (hakipo pichani), kiwanja hicho cha mpira ni moja kati ya viwanja vinavyotumiwa na wanamichezo waliopo katika kituo hicho cha Filbert Bayi.
Kiwanja cha mpira wa miguu kilichopo katika kituo cha michezo cha Filbert Bayi.
Waziri Membe akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa vyama vya michezo mbalimbali nchini, mara baada ya kumaliza kikao na wanamichezo.
Picha na Reginald Philip


          

=========================================



Mhe. Membe Aahidi  Kuendeleza Diplomasia ya Michezo

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe, amewataka wanamichezo wa Tanzania kutokata tama kwa kufanya vibaya kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola mwaka huu, na kuahidi kuendelea kupigania maendeleo ya sekta hiyo.

Akiongea katika kiko cha kutathmini matokeo ya timu ya Tanzania, ambayo haikushinda medali yoyote kwenye michezo hiyo ya Madola, iliyomalizika mjini Glasgow, Scotland mwezi Agosti, Mhe. Membe alisema wizara yake itafanya juhudi zaidi kutafuta wadhamini wa matayarisho ya timu ya taifa ndani na nje ya nchi, chini ya mkakati wa diplomasia ya michezo.

 Kikao hicho kilichohudhuriwa na viongozi wa vyama vya michezo na baadhi ya wanamichezo walioshiriki michezo ya Glasgow, kilifanyika leo kwenye kituo cha michezo cha Filbert Bayi Mkuza.

''Msikatishwe tamaa na matokeo mabaya ya Glasgow, kwani mara nyingi mafanikio huja mara ya pili,'' alisema Mhe. Membe, na kuongeza: ''Tutumie yale yuliyojifunza kwa kushindwa hukokupanga wakati wa ushindi katika mashindano yajayo.''

Mhe. Waziri aliisifu timu ya Tanzania kwa kuonyesha nidhamu ya hali ya juu iliposhiriki michezo ya Madola, lakini akasisitiza kuwa nidhamu peke yake haitoshi. ''Nidhamu hiyo ituletee ushindi.'' alisema.

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, kwakushirikiana na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, ilitafuta udhamini wa kambi za mazoezi kwa miezi miwili kwa wanamichezo wa timu ya taifa huko Uturuki, China, Ethiopia, na New Zeland, kabla ya kwenda Glasgow.

Katibu Mkuu wa kamati ya Olimpiki ya Tanzania, Bw. Filbert Bayi, alisema kufanya vibaya kwa timu hiyo kulichangiwa na muda mfupi wa kukaa kambini na kukosa mashindano ya kujipima nguvu. Ali9shauri idadi ya washiriki na michezo vipunguzwe kulingana na uwezo wa taifa kifedha.

Mkurugenzi wa Michezo, ambaye aliongoza msafara wa Glasgow, Bw. Leornard Thadeo, alisema timu ya Tanzania ilikuwa na ushindani hafifu kutokana na mafunzo hafifu, viwango vya chini vya wachezaji, ukosefu wa vifaa na kuchelewa kutolewa fedha za uwezeshaji.

Walimu wa michezo na wachezaji walisisitiza matayarisho ya muda mrefu zaidi, mazingira mazuri ya mazoezi na udhamini mpana zaidi utakaohusisha taasisi za umma na binafsi.




Maafisa Wakuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa cha Afrika Kusini watembelea Wizara ya Mambo ya Nje



Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Joachim Otaru akitoa hotuba kuhusu Sera ya Mambo ya Nje ya Tanzania, nafasi ya Tanzania katika kutekeleza majukumu ya kimataifa na uwakilishi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa kwa Maafisa Wakuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa cha Afrika Kusini. Maafisa hao wapo nchini kwa ziara ya mafunzo hadi tarehe 02 Oktoba 2014. 

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kikanda katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Shiyo Innocent mwenye tai nyekundu akifafanua jambo kwa maafisa hao kuhusu nafasi ya Tanzania katika Jumuiya za Kikanda (SADC, EAC na ICGLR). Kushoto kwake ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati, Bw. Elibariki Maleko.

Bw. Shiyo akiendelea na ufafanuzi wa masuala mbalimbali.


Bw. Maleko akitoa neno la shukrani kwa maafisa wa Chuo hicho kwa uamuzi wao wa kuitembelea Wizara ya Mambo ya Nje. 

Ujumbe kutoka Marekani wataembelea Wizara ya Mambo ya Nje



Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Rajabu Gamaha (katikati) akizungumza na ujumbe wa wafanyabiashara na Mabalozi wa Heshima wa Tanzania nchini Marekani uliokuja kumtembelea Ofisini kwake. Ujumbe huo uliongozwa na Mkurugenzi Mwendeshaji wa Kampuni ya TANAS Energy Group ya Marekani, Bw. William Crawford wa kwanza kulia kwa Kaimu Katibu Mkuu upo nchini kwa madhumuni ya kuangalia fursa za uwekezaji na vivutio vya utalii. 
Ujumbe wa Marekani ukimsikiliza kwa makini Kaimu Katibu Mkuu hayupo pichani. Kutoka kulia ni Mkurugenzi Mwendeshaji wa Kampuni ya TANAS Energy Group ya Marekani, Bw. William Crawford, Balozi wa Heshima wa Tanzania, California, Bw. Ahmed Issa;  Rais wa Automated Transmission Rebuilding California, Bw.  Steve Horgan; Afisa Mwendeshaji Mkuu wa Seafarers inc, Bibi Deborah Owens; na  Rais na Mwanzilishi wa Shirika la Women Empowered to Achieve the Impossible (WETATI), Bibi Margret Dureke,
Ujumbe mwingine ukifuatilia mazungumzo hayo. Kutoka kulia ni Mhandisi wa Tiba, San Francisco, California, Bw. Robert Reynolds; Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Bw. Suleiman Saleh; Bw. Andy Math na Balozi wa Heshima wa Tanzania, Michigan, Bw. Robert Shumake.


Kaimu Katibu Mkuu, Balozi Gamaha akiagana na Kiongozi wa Msafara, Bw. William Crawford.

Picha ya pamoja

















TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI



Rais Kikwete ateua Balozi mpya wa Tanzania nchini Canada 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Bw. Jack Mugendi Zoka kuwa Balozi mpya wa Tanzania nchini Canada.

Bw. Zoka anajaza nafasi iliyoachwa wazi na Balozi Alex Masinda, ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria.

Kabla ya uteuzi huu, Bw. Zoka alikuwa Ofisa Mwandamizi Ofisi ya Rais, Ikulu.

IMETOLEWA NA KATIBU MKUU, WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA, Dar es Salaam.

Tarehe 30 Septemba 2014

Thursday, September 25, 2014

PRESIDENT KIKWETE'S STATEMENT AT THE 69TH SESSION OF THE UNITED NATIONS GENERAL ASSEMBLY

H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania delivering his statement at the 69th Session of the United Nations General Assembly on Thursday September 25, 2014



STATEMENT BY HIS EXCELLENCY, DR. JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, AT THE GENERAL DEBATE OF THE SIXTY-NINTH SESSION OF THE UNITED NATIONS GENERAL ASSEMBLY, NEW YORK,
25th SEPTEMBER, 2014
Theme: “Delivering on and Implementing a Transformative
Post-2015 Development Agenda

His Excellency Sam Kutesa, President of the United Nations General Assembly;
His Excellency Ban Ki-moon, Secretary-General of United Nations;
Excellencies Heads of State and Government;
Distinguished Delegates;
Ladies and Gentlemen;
I congratulate you, my dear brother, Mr. Sam Kutesa on your well-deserved election as President of the 69th Session of the General Assembly. While wishing you every success in discharging your duties and responsibilities, my delegation and I promise you our full support and cooperation.  Allow me also to pay tribute to your predecessor, H.E. John W. Ashe of Antigua and Barbuda for his remarkable leadership of the 68th Session.
Mr. President,
Our illustrious Secretary General, His Excellency Ban Ki-moon, deserves praise and appreciation for his leadership and the good work he is doing for our esteemed organization.  He has been performing his duty with courage, dedication, passion and commitment in driving the UN agenda.  We will ever be grateful to him. 
Mr. President;
We welcome and fully endorse the theme of this year’s debate: Delivering on and Implementing a Transformative Post-2015 Development Agenda”. We see its discussion making important contributions in the intergovernmental negotiations on the Post-2015 Development Agenda that are about to start. 
Post- 2015 Development Agenda
Mr. President;
As we dedicate our time and efforts to the negotiations on the Post 2015 Development Agenda, we must not lose sight of the unfinished business of Millennium Development Goals.  It is important that the targets and indicators that will not be accomplished are factored properly in the Post 2015 Development Agenda.  In the mean time we should ensure that we use the remaining 461 days to accelerate the pace of implementing the MDGs.
Mr. President;
The issue of financing the implementation of the post-2015 Development Agenda, must be given special attention.  I am mentioning this matter because experience has taught us that other factors aside, we will fall short of attaining a number of the MDGs targets and indicators because of unpredictable, unreliable, insufficient and untimely availability of financial resources.
Mr. President;
Therefore, for the post 2015 Development Agenda to be achieved, we must device a mechanism to ensure stable, predictable and reliable sources of finance for their implementation. 
Climate Change
Mr. President;
There is more to the year 2015 than the deadline of the MDGs and the onset of the post 2015 sustainable goals.  The year 2015 is also a deadline for the world to conclude a legally binding Climate Change agreement.
We thank the UN Secretary General for convening the Climate Summit that took place on September 23rd, 2014, here at the United Nations.  It afforded us a unique opportunity to put our minds together and deliberate on the way to save this planet from disaster and advance on green development pathways.  It was very opportune, indeed, to hold this Summit two and half months before the COP 20 in Lima, Peru in December, 2014 and one year before COP 21 in Paris, France.  In many ways the Summit may help make the work in Peru not to be so difficult.  As you know a success at the Lima Conference will mean a lot for the Paris Conference where we expect to conclude a legally binding Climate Agreement.  We know it is not easy but, Tanzania and Africa as whole is appealing to all countries from all continents to do whatever it takes to ensure that COP 21 in Paris in December, 2015 delivers on the expectations of all of us.  Failure should not be an option. 
The United Nations Reforms
Mr. President;
United Nations reforms are long overdue. Reports that consultations and negotiations are not showing encouraging sign of progress is very frustrating, indeed. We should remain steadfast and vigilant not to allow the momentum to be lost.  We humbly request you, Mr. President, to use your good offices and longstanding diplomatic skills to revitalize the process.  We must keep the flame glowing. 
Global Security Situation
Mr. President;
Global peace and security is in a state of flux.  The events occurring in North Africa, the Middle East, Eastern Europe, the Great Lakes Region and the Horn of Africa are matters of concern for us all.  Equally, important the menace of terrorism, illicit exploitation of natural resources; poaching; illicit trade in narcotic drugs and weapons are making the world less secure. 
Terrorism is assuming new dimensions making it the big threat of the moment because of its indiscriminate, lethal and callous character. Hundreds of innocent people have lost their lives or have been wounded.  Many more have been forced to flee and some abducted with fatal consequences.  No country is insulated and nobody is safe. As such it calls for all of us to play an active role in the fight against terrorism and cross border crime. Al-Shabaab, Boko Haram, ISIS and other terrorist organizations should not be allowed to have their way.  Libya should not be left to disintegrate.  The senseless fighting in the Central Africa Republic and South Sudan must be brought to an end. This world under the leadership of the United Nations Security Council and regional organizations has the capacity to do exactly that.   Let us do what is required of us to stop the bloodshed, loss of life, suffering to innocent people and destruction of property.
Situation in Palestine
Mr. President;
The horrifying scenes of bombing and death of innocent women, children as well as men in the recent hostilities between Israel and Palestine is heartbreaking. Unfortunately, this conflict has been going on for far too long while the lasting solution is known: two states living side by side harmoniously. This solution has been elusive for far too long.  Time has come for the United Nations, the United States of America, Russia, Europe and other global and regional powers to come together in concerted efforts to make it happen.  We shouldn’t wait any longer.
The Question of Western Sahara
Mr. President;
With regards to the question of Western Sahara, let me reiterate the appeal I made last year, at the UNGA to the United Nations Security Council to do everything within its powers to resolve this problem once and for all.  Honestly, I cannot comprehend why this problem, which happened about the same time with that of East Timor nearly 40 years ago should remain unresolved up to this day. What are those insurmountable challenges impeding the UN to end the impasse?  Please do the needful and put the Saharawi question to rest.  I know you can.
Unilateral Sanctions and Embargos
Mr. President;
Once again, we in Tanzania wish to join the others who spoke before us in calling for ending the sanctions and embargo against Cuba and its people.  For over 50 years, the embargo has condemned the people of Cuba including innocent children and women into perpetual hardship and poverty.  It is high time this embargo is lifted and the people of Cuba are given the opportunity to live in dignity like everybody else on this planet. 
Ebola Outbreak
Mr. President;
This General Assembly is being held at a time when our brothers and sisters in Liberia, Sierra Leone and Guinea are confronting the worst outbreak of the deadly Ebola epidemic.  In the three countries together with Nigeria some 2,400 people have lost their lives.  The disease, which has no cure or vaccine yet, presents a major threat to the countries where the disease is known to exist, to neighbouring countries and beyond.  Unless, the world succeeds to control the spread of this disease, there is every danger that it can become a global epidemic. 
Mr. President;
Our collective efforts in this regard, is the best way forward. I believe the world has the technology, knowledge and financial resources, which if put together, can stand up against the threat, posed by Ebola.  We should also continue to support the efforts of our scientists who are working tirelessly, day and night, in search of cure and vaccines.
Mr. President;
We applaud the efforts being taken by the UN, WHO, the US government and other countries with the technical-technological capabilities in assisting the affected countries and in the fight against the disease.  We request four things. One, that this support be continued and bolstered where possible until the spread of the disease is put under control. Two, assist other nations in West Africa and elsewhere on the African continent to build capacity for surveillance, isolation and treatment.  Three, efforts to get cure and vaccine, be intensified to save the lives of those infected and prevent others from being infected. 
Finally, or number four please stop the stigma that is developing against Africa because of Ebola.  Reports that a number of people from other continents are shying away from coming to Africa and cancelling travel plans because of Ebola is disturbing.  It is threatening to kill the all important tourism industry, trade and investment flows to Africa.  May the United Nations and friends of Africa, please help us to tell people of the world that Africa is a Continent of 54 independent countries and not a country with 54 provinces.  Not all countries in Africa have disease.  Moreover, many countries are far away from the concerned countries in West Africa.  In fact, the affected countries are closer to Europe than they are to Kenya, Tanzania or South Africa in Eastern and Southern Africa to mention but a few.  As a matter of fact they are 9 to 11 hours away by air.  To cancel visit to all parts of Africa is incomprehensible and a gross injustice to the continent.    
Conclusion
Mr. President;
I am confident that this 7-day debate on the theme, Delivering on and Implementing a Transformative Post-2015 Development Agendaaffords us another opportunity to define a bright future for ourselves, our children, our grand children and their children and grand children.  We should seize this moment to build on the success stories and lessons from many countries and peoples. We should also learn from the challenges and failures during the implementation of MDGs in conceiving the goals, targets and indicators of the post 2015 Development Agenda.  Tanzania stands ready to cooperate with the rest of the members of the United Nations family in building consensus on the Post 2015 Development Goals.
Mr. President;
Allow me to conclude by appealing to everyone here to promise to work for a post-2015 development agenda that will make the world a better place for all of us to live in.
I thank you for your kind attention!
Asante sana!
Merci beaucoup!
Muchas Gracias!