Thursday, October 2, 2014

Balozi mpya wa Ufaransa awasilisha nakala za Hati za Utambulisho

Balozi mpya wa Ufaransa nchini Tanzania Mhe. Malika Berak akiwasilisha Nakala za Utambulisho kwa Mkuu wa Itifaki Balozi Juma Maharage  
Mhe. Beraki akiweka saini katika kitabu cha wageni
Balozi Malika Berak akizungumza na Balozi Maharage mara baada ya kuwasilsha nakala za Hati za Utambulisho
Kushoto ni mkurugenzi msaidizi Idara ya Itifaki Bw. James Bwana, kulia ni Afisa Mambo ya Nje Bi. Mona Mahecha wakifuatilia kwa makini mazungumzo kati ya Balozi Malika Berak na Balozi Maharage

Picha na Reginald Philip

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.