Sunday, October 12, 2014

Naibu Waziri ahudhuria mkutano wa 14 wa Baraza la Mawaziri wa Indian Ocean Rim

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (M.) akiwa kwenye chumba cha mkutano alipohudhuria Mkutano wa 14 wa Baraza la Mawaziri wa Indian Ocean Rim (IOR) uliofanyika Mjini Perth nchini Australia hivi karibuni.
Mkutano wa 14 wa Mawaziri wa Baraza la Mawaziri wa Indian Ocean Rim (IOR) ukiendelea
Naibu Waziri akimsikiliza Mhe. Julie Bishop, Waziri wa Mambo ya Nje wa Australia  na Mwenyekiti wa IOR
Picha ya pamoja ya Mawaziri kutoka nchi wanachama wa IOR

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.