| Balozi Mulamula akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa DICOTA 2014 |
| Meya wa Mji wa Durham, Mhe. William Bell akiwakaribisha Wajumbe wa Mkutano wa DCOTA 2014 mjini hapo wakati wa sherehe za ufunguzi |
| Meya wa Durham Mhe. Bell akimkabidhi Balozi Sefue Cheti Maalum cha kuitambua DICOTA mjini Durham. |
| Rais wa DICOTA, Dkt. Ndaga Mwakabuta nae akikaribisha Wajumbe kwenye ufunguzi rasmi wa Mkutano wa Mwaka wa DICOTA 2014 |
| Wajumbe kwenye mkutano wakifuatilia matukio |
| Sehemu nyingine ya Wajumbe kwenye mkutano |
| Wajumbe wengine akiwemo Bi. Susan Mzee kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu wakifuatilia hafla ya ufunguzi |
| Wajumbe mbalimbali kwenye ufunguzi wa mkutano |
| Mkutano ukiendelea na wajumbe wakifuatilia |
| Sehemu ya Wajumbe wakijadiliana jambo |
| Wajumbe zaidi kutoka Tanzania wakifuatilia hafla ya ufunguzi |
| Balozi Sefue akishangiliwa na kina mama wa DICOTA waliokuwa wamevalia sare kumkaribisha kufungua mkutano wa DICOTA 2014 |
| Balozi Sefue akizungumza na Meya wa Durham, Mhe. Bell |
| Kina mama wa DICOTA wakati wa shamrashamra za ufunguzi wa mkutano |
| Balozi Sefue, Balozi Mulamula, Mama Jairo, Mwalimu Mwakasege na Wajumbe wengine wakifurahia nyimbo kutoka kwa kina Mama wa DICOTA kabla hala ya ufunguzi haijaanza. |
| Kijana wa DICOTA, John Mmanywa akiimba kwa ufasaha kabisa Wimbo wa Taifa la Tanzania. |
----------Matukio kabla ya ufunguzi wa Baraza la DICOTA
| Balozi Sefue akiendelea kupata maelezo katika meza za maonesho ya bidhaa mbalimbali kwa ajili ya Diaspora na nchi |
| Balozi Mulamula akisalimiana na Mwalimu Mwakasege huku Balozi Sefue akishuhudia. |
| Balozi Sefue katika picha ya pamoja na Mwalimu Mwakasege |
| Balozi Mulamula katika picha ya pamoja na Bibi Jairo |
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.