Thursday, October 30, 2014

IOM yakabidhi vifaa vya Kompyuta Wizarani

Mkurugenzi wa Idara Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy akizungumza na Mkurgenzi wa Shirika la Kimataifa Ia Uhamiaji (I.O.M), Bw. Damien Thuriaux ofisini kwake alipokuja kukabidhi vifaa vya kompyuta kwa ajili ya Wizara.
Mazungumzo yakiendelea kati ya Balozi Mushy na Damien Thuriaux, huku Bibi Naomi Zegezege, Afisa Mambo ya Nje akinukuu.
Balozi Celestine Mushy akipokea moja ya vifaa hivyo.

Wataalam wa Masuala ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Wizara wakishuhudia makabidhiano hayo
Picha ya pamoja.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.