Thursday, October 16, 2014

Mhe. Rais Kikwete apokea Hati za Utambulisho za Balozi mpya wa Ufaransa nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Balozi mpya wa Ufaransa hapa nchini, Mhe. Malika Berak alipofika IKULU Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuwasilisha Hati za Utambulisho.
Balozi Berak akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu
Balozi Berak akisalimiana na Afisa Mambo ya Nje, Bi. Olivia Maboko huku akishuhudiwa  na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Irene Kasyanju (wa kwanza kulia) na Bibi Victoria Mwakasege (katikati), Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika.
Mhe. Rais Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mhe. Balozi Berak mara baada ya kupokea Hati zake za utambulisho.
Mhe. Rais Kikwete katika Picha ya pamoja na Balozi Berak na Maafisa kutoka Ubalozi wa Ufaransa nchini.
Picha ya pamoja

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.