Tuesday, October 21, 2014

Katibu Mkuu akutana na Ujumbe wa Jeshi la Wanamaji la India

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. John Haule (kulia) akizungumza katika kikao na Mkuu wa Msafara wa Jeshi la Wanamaji kutoka India, Bw. Real Admiral R. Hari Kumar pamoja na ujumbe alioambatana nao walipomtembelea Wizarani. Mazungumzo yao yalilenga kukuza, kuendeleza na kuimarisha mahusiano ya Jeshi la Wanamaji kati ya Tanzania na India.
Kulia ni Balozi wa India nchini Tanzania Bw. Debnath Shaw pamoja na ujumbe aliombatana nao Bw. Kumar.
Bwa. Kumar akizungumza 
Afisa  Mambo ya Nje, Bw. Emmanuel Luangisa (kulia) akinukuu mazungumzo.
Kikao kikiendelea
Katibu Mkuu akikabidhiwa zawadi yenye nembo ya Jeshi la Wanamaji la India
Picha ya pamoja

Picha na Reginald Philip.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.