Friday, October 3, 2014

Taarifa kwa vyombo vya Habari




TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Bwana Samwel William Shelukindo  kuwa Balozi na pia kuwa Msaidizi wa Rais (Diplomasia).

Kabla ya uteuzi huu, Bwana Samwel William Shelukindo alikuwa Mkuu wa Utawala kwenye Ubalozi wa Tanzania Mjini Addis Ababa Ethiopia.

Uteuzi huu unaanza tarehe 01 Oktoba, 2014.

“Mwisho”

Imetolewa na;

Premi Kibanga,
Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi,
Ikulu – Dar es Salaam.
02 Oktoba, 2014

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.