Friday, October 3, 2014

Balozi Mbelwa kairuki afanya mazungumzo na Balozi wa China nchini

Mkurugenzi Idara ya Asia na Australasia Balozi Mbelwa Kairuki (Kulia) kulia akimsikiliza Balozi wa China nchini Lu Youqing alipokutana nae na kufanya mazungumzo juu ya mahusiano juu kati ya Tanzania na China
Wakwanza kutoka kushoto ni Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Mambo ya Nje Bi. Mindi Kasiga, wakwanza kulia ni Bw. Imani Njalikai afisa Mambo ya Nje na wapili kutoka kulia ni Bw. Medadi Ngaiza afisa Mambo ya Nje wakinukuu mazungumzo hayo.
Maafisa kutoka Ubalozi wa China nchini walioambatana na Balozi Lu Youqing
Mazungumzo yakiendelea.


Picha na Reginald Philip

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.