Monday, November 18, 2013

Mkutano wa Mawaziri wa Afro Arab Summit umefunguliwa

 

Meza Kuu ikionesha baadhi ya Viongozi wa Mkutano wa Mawaziri wa Afro Arab Summit wakiwa wameketi.

Mwenyeki wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Mhe. Nkosazana Dlamini-Zuma akihutubia Mkutano wa Mawaziri wa Afro Arab Summit.

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mhe. Mhandisi Christopher Chiza {Mb}akifuatilia kwa makini mkutano wa Mawaziri.

Ujumbe wa Tanzania, kutoka kulia ni Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Gregory Teu {Mb}, Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Uledi Mussa, Mhe. Balozi Simba Yahya, Mkurugenzi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mhe. Naimi Aziz, Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia.

Wajumbe kutoka nchi mbalimbali wakati wa mkutano huo.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.