| Mhe. Dkt. Mahiga akiwa kwenye mazungumzo na Balozi Song Geum-young mara baada ya kupokea nakala za hati za utambulisho. |
.......Nakala za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa EU
| Mhe. Dkt. Mahiga akipokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Umoja wa Ulaya hapa nchini, Mhe. Roeland Van De Geer. |
| Mhe. Dkt. Mahiga akizungumza na Balozi Mteule wa EU, Mhe. Roeland Van De Geer |
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.