Thursday, December 10, 2015

Tawi la TUGHE-Wanawake la Mambo ya Nje wakutana kupanga mikakati ya utendaji kazi

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje n aUshirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akiwa na Bibi Amisa Mwakawago, Mwenyekiti wa Tawi la TUGHE-Wanawale la Wizara katika Mkutano na wanachama wa Tawi hilo uliofanyika Wizarani hivi karibuni kujadili malengo mbalimbali waliyojiwekea katika utekelezaji wa majukumu ya kazi na yale yanayohusu maendeleo yao. Balozi Mulamula  pia ni Mama Mlezi wa Tawi la TUGHE Wanawake la Wizara.
Sehemu ya Wanawake wakimsikiliza Balozi Mulamula
Mmoja wa Wanachama, Bi. Mindi Kasiga akichangia wakati wa mkutano huo. Kulia ni Mjumbe wa Tawi, Bi. Grace Martin
Balozi Mulamula  kwa pamoja na Bi Mwakawago wakimsikiliza Bi. Kasiga (hayupo pichani) alipochangia mada
Katibu wa Tawi, Bi. Annagrace Rwalanda akitoa ufafanuzi kwa baadhi ya agenda zilizowasilishwa wakati wa mkutano huo.
JUU NA CHINI: Sehemu ya wanachama wakifuatilia mkutano
Wanachama wakisikiliza hoja mbalimbali wakati wa mkutano

Sehemu nyingine ya wanachama

Wanachama wakifuatilia mada na matukio wakati wa mkutano huo






No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.