Wednesday, December 30, 2015

Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Nje akutana kwa mazungumzo na Balozi Mdogo wa China nchini.

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Simba Yahaya akizungumza na Balozi Mdogo wa China, Mhe. Zhang Biao. Mazungumzo yao yalijikita katika kukuza mahusiano kati ya Tanzania na China katika sekta mbalimbali zikiwemo za biashara, uchumi na kijamii.
Mhe. Zhang Biao naye akizungumza
Maafisa kutoka Wizarani na Ubalozi wa China nao wakifuatilia mazungumzo
Balozi Simba akiagana na Mhe. Biao



Picha na Reginald Philip

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.