Friday, December 18, 2015

Dkt. Mahiga afanya mahojiano maalum na BBC kuhusu Burundi

Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga akijibu maswali kuhusu hali ya kisiasa nchini Burundi wakati wa mahojiano maalum na Mwandishi wa Habari kutoka Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), Bw. Leonard Mubali. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, Bi. Mindi Kasiga akinukuu mahojiano hayo. Mahojiano hayo yatarushwa  tarehe 18 Desemba, 2015 saa 3:00 usiku kupitia kipindi cha Dira ya Dunia kinachorushwa na  Kituo cha Star TV
Mahojiano yakiendelea.
Mhe.Dkt. Mahiga akiagana na Bw. Mubali  baada ya kumaliza  mahojiano hayo.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.