Friday, December 18, 2015

Balozi Mulamula akutana kwa mazungumzo na Balozi wa India nchini

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula (kulia), akizungumza na Balozi wa India hapa nchini, Mhe. Sandeep Arya katika mazungumza yao yalijikita katika kukuza ushirikiano kati ya Tanzania na India katika sekta mbalimbali za kiuchumi, biashara, afya na elimu. Mazungumzo hayo yalifanyika tarehe 18 Desemba, 2015.
Balozi Arya naye akizungumza na Balozi Mulamula
Mazungumzo yakiendelea

Picha na Reginald Philip

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.