Tuesday, November 14, 2017

Balozi wa Tanzania nchini Korea awasilisha hati za utambulisho

Balozi wa Tanzania nchini Korea Mhe. Matilda Masuka (kushoto) akitoa salam ya heshima kwa Rais wa Jamhuri ya Korea Mhe. Moon Jae-in wakati wa hafla ya kuwasilisha hati zake za utambulisho kwa Rais wa Taifa hilo.

Balozi wa Tanzania nchini Korea Mhe. Matilda Masuka (kushoto) akiwasilisha hati zake za utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Korea Mhe. Moon Jae-in

Balozi Mhe.Masuka na Rais wa Jamhuri ya Korea Mhe.Moon Jae-in wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya zoezi la kuwasilisha hati za utambulisho

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.