Wednesday, November 8, 2017

Waziri Mahiga amkaribisha rasmi Wizarani Katibu Mkuu mpya Prof.Mkenda

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akizungumza na Watumishi wa Wizara (hawapo pichani) wakati wa kikao rasmi cha kumkaribisha Katibu Mkuu mpya wa Wizara Prof. Adolf Mkenda (kulia). Kikao hicho kilifanyika hivi karibuni  katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi Rasilimali Watu, Bw. Hamid Mbegu.
Sehemu ya Wakurugenzi na Watumishi wa Wizara wakimsikiliza Waziri Mahiga (hayupo pichani)
Sehemu nyingine ya Wakuu wa Idara na Vitengo wakifuatilia kikao
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Adolf Mkenda akiwasalimia Watumishi wa Wizara (hawapo pichani) mara baada ya kukaribishwa rasmi Wizarani.
Watumishi wa Wizara wakimsikiliza Katibu Mkuu (hayupo pichani)
Sehemu nyingine ya Watumishi wa Wizara

Watumishi wengine wa Wizara

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.