Friday, November 10, 2017

Kaimu Mkurugenzi wa Ushirikiano wa Kimataifa akutana na Ujumbe wa EU nchini

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Jestas Nyamanga akizungumza na Kaimu Kiongozi  wa Ujumbe wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini, Bw. Charlie Stuart alipofika Wizarani tarehe 10 Novemba, 2017 kwa ajaili ya kuzungumzia masuala mbalimbali yanayohusu Umoja huo na masuala mengine ya Kimataifa.
Sehemu ya Ujumbe uliofuatana na Bw. Stuart wakifuatilia mazungumzo
Sehemu nyingine ya ujumbe kutoka EU na Maafisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.