Thursday, November 9, 2017

Katibu Mkuu afanya mazungumzo na Mhe. Balozi wa China Nchini

 Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Adolf Mkenda akiwa katika mkutano na Balozi wa China Nchini Mhe. Wang Ke alipomtembelea Wizarani, tarehe 09 Novemba,2017.
 Katibu Mkuu Prof. Mkenda ( katikati), kushoto kwake ni Balozi wa China nchini Mhe. Wang Ke, wakiendelea na mazungumzo, wanaofutilia mazungumzo hayo ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia(wa kwanza kulia) Bi. Justa Nyange na anayefuata ni Afisa katika Idara hiyo Bw. Harmesh Lunyumbu.

Katibu Mkuu Prof. Mkenda akipokea zawadi kutoka kwa Balozi wa China Nchini Mhe. Wang Ke, baada ya mkutano

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.