Wednesday, November 8, 2017

Katibu Mkuu Prof. Mkenda afanya Mazungumzo na Balozi wa Japan Nchini

 Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Adolf Mkenda akiwa katika mkutano na Balozi wa Japan nchini Mheshimiwa Masaharu Yoshida alipomtembelea Wizarani leo tarehe 08 Novemba,2017. Katika Mkutano huu walizungumzia masuala mbalimbali yanoyohusu uhusiano kati ya Tanzania na Japan hasa katika eneo la uwekezaji.

 Prof.Mkenda akipokea zawadi ya Kalenda ya Mwaka 2018 kutoka kwa Mheshimiwa Balozi Yoshida, kalenda hiyo ni maalum yenye picha  zinazoelezea utamaduni wa Japan.

Katibu Mkuu Prof. Mkenda na Mhe. Balozi Yoshida pamoja na maafisa kutoka Wizarani na Ubalozi wa Japan wakiwa katika picha ya Pamoja baada ya Mkutano.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.