Monday, November 20, 2017

Balozi wa Tanzania nchini Shelisheli awasilisha Hati za Utambulisho

Balozi wa Tanzania nchini Shelisheli mwenye makazi yake nchini Kenya, Mhe. Dkt. Pindi Chana akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Shelisheli, Mhe. Danny Faure. Makabidhiano hayo yalifanyika tarehe 14 Novemba 2017, katika Ikulu ya nchi hiyo.
Mhe. Balozi Chana  akizungumza na Mhe. Rais Faure ambapo Serikali ya Jamhuri ya Shelisheli imemuhakikishia kumpa ushirikiano katika utekelezaji wa majukumu yake.

Mhe. Balozi Chana akiwasili katika Ikulu ya Jamhuri ya Shelisheli.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.