Saturday, November 25, 2017

Katibu Mkuu ashiriki Mkutano wa Jukwaa la Biashara kati ya Tanzania na China

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki  Prof.Adolf Mkenda (kulia) akizungumza katika  wa Mkutano wa Jukwaa la Biashara kati ya Tanzania na China

Katibu Mkuu Prof.Adolf Mkenda akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Watendaji wa Serikali ya Tanzania na wa Serikali ya Watu wa Jamhuri ya China mara baada ya kuhitimisha Mkutano na Benki ya Uwekezaji ya Asia.

Katibu Mkuu Prof. Adolf Mkenda akizungumza katika Mkutano wa Ukanda Maalum wa Kiuchumi wa Uwanja wa ndege wa Hanan (Hanan Airport Special Economic Zone) uliofanyika nchini China.

Wajumbe wakifuatilia Mkutano wa Jukwaa la Biashara kati ya Tanzania na China

Katibu Mkuu wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Prof. Elisante Ole Gabriel akizungumza kwenye Mkutano wa  Jukwaa la Biashara kati ya Tanzania na China

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.