Wednesday, July 26, 2023

RAIS NYUSI AREJEA NCHINI MSUMBIJI

Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Filipe Jacinto Nyusi ameondoka nchini baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali kuhusu Rasilimali Watu (Africa Human Capital Heads of State Summit) uliofanyika jijini Dar es Salaam tarehe 25 na 26 Julai, 2023.

Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam , Mhe. Rais Nyusi amesindikizwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.), Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila na Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji, Mhe. Faustine Kasike.

Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Filipe Jacinto Nyusi akisindikizwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax wakati wa kuondoka nchini na kurejea Msumbiji mara baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali kuhusu Rasilimali Watu (Africa Human Capital Heads of State Summit) uliofanyika jijini Dar es Salaam tarehe 25 na 26 Julai, 2023



Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Filipe Jacinto Nyusi akiagana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax wakati wa kuondoka nchini na kurejea Msumbiji baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali kuhusu Rasilimali Watu (Africa Human Capital Heads of State Summit)

Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Filipe Jacinto Nyusi akiagana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax wakati wa kuondoka nchini na kurejea Msumbiji baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali kuhusu Rasilimali Watu (Africa Human Capital Heads of State Summit)

Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Filipe Jacinto Nyusi akiwaaga watanzania wakati wa kuondoka nchini na kurejea Msumbiji baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali kuhusu Rasilimali Watu (Africa Human Capital Heads of State Summit)

Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Filipe Jacinto Nyusi akiwaaga watanzania wakati wa kuondoka nchini na kurejea Msumbiji baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali kuhusu Rasilimali Watu (Africa Human Capital Heads of State Summit)

Viongozi mbalimbali wakiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Stergomena Tax wakimuaga Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Filipe Jacinto Nyusi


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.