Tuesday, July 18, 2023

TANZANIA NA HUNGARY ZAAINISHA MAENEO YA KUSHIRIKIANA





Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waandishi wa Habari (Hawapo Pichani) Ikulu Jijini Dar es Salaam baada ya kumaliza mazungumzo na mgeni wake Rais wa Hungary Mheshimiwa Katalin Novák

Rais wa Hungary Mheshimiwa Katalin Novák akizungumza na Waandishi wa Habari (Hawapo Pichani) Ikulu Jijini Dar es Salaam baada ya kumaliza mazungumzo na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan na mgeni wake Rais wa Hungary, Mheshimiwa Katalin Novák wakizungumza na Waandishi wa Habari Ikulu Jijini Dar es Salaam baada ya kumaliza mazungumzo yao 

Waziri wa Elimu Sayansi na Teknoloji Prof. Adolf Mkenda akipongezana na Waziri wa Nchi wa Hungary Azbej Tristan  baada ya kusaini Hati ya Makubaliano (MoU) 




Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) akiteta jambo na Waziri wa Elimu, Prof. Adolf Mkenda pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo Ikulu Jijini Dar es Salaam 

Rais wa Hungary Mheshimiwa Katalin Novák akipokelewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) kwenye makazi ya Mwakilishi wa Heshima wa Hungary nchini Tanzania, Bw. Solomon Kimaro Jijini Dar es Salaam 

Rais wa Hungary Mheshimiwa Katalin Novák akisalimiana na  Mwakilishi wa Heshima wa Hungary nchini Tanzania, Bw. Solomon Kimaro kwenye makazi yake Jijini Dar es Salaam 

 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.