Friday, June 7, 2024

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA CANADA AKUTANA NA MABALOZI WA AFRIKA

Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada, Mhe. Melanie Joly akisalimiana na Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Canada, Bw. Charles Faini wakati wa Mkutano kati yake na Mabalozi wa Afrika  uliofanyika hivi karibuni jijini Ottawa

Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada, Mhe. Melanie Joly akizungumza na Mabalozi wa Afrika waliopo nchini humo uliofanyika hivi karibuni jijini Ottawa



 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.