Friday, July 4, 2014
Rais Kikwete apokea Hati za Utambulisho za Balozi wa Malaysia na Cote d'Ivoire nchini
Mhe. Rais akimtambulisha Balozi Salem kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. John Haule. |
Mhe. Balozi Salem akisalimiana na Balozi Mbelwa Kairuki, Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. |
Balozi Salem akisalimiana na Afisa Mambo ya Nje, Bw. Khatib Makenga. |
Mhe. Rais Kikwete akizungumza na Balozi Salem mara baada ya kupokea hati zake za utambulisho |
Balozi Salem akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu kwa ajili ya kukabidhi hati zake za Utambulisho. |
Balozi Salem akisikiliza Wimbo wa Taifa lake mara baada ya kuwasili Ikulu. Wengine katika picha ni Balozi Mohammed Maharage Juma, Mkurugenzi na Mkuu wa Itifaki na Mnikulu, Bw. Shaaban Gurumo. |
Bendi ya Polisi ikipiga wimbo wa taifa la Malaysia kwa heshima ya Balozi wake (hayupo pichani). |
....Balozi wa Cote d'Ivoire nae awasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais
Balozi Aboua akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Mhe. Rais Kikwete. |
Mhe. Rais Kikwete akimtambulisha kwa Balozi Aboua Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. John Haule. |
Balozi Aboua akisalimiana na Mkurugenzi wa Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Vincent Kibwana. |
Balozi Aboua akisalimiana na Afisa Mambo ya Nje, Bw. Selestine Kakele. |
Rais Kikwete katika picha ya pamoja na Balozi Aboua (kushoto) na Afisa aliyefuatana na Balozi huyo. |
Rais Kikwete akizungumza na Balozi Aboua.
|
Balozi Aboua akisikiliza wimbo wa taifa lake mara baada ya kuwasili Ikulu. Wengine katika picha ni Balozi Mohammed Maharage Juma, Mkurugenzi na Mkuu wa Itifaki pamoja na Mnikulu, Bw. Shaaban Gurumo. |
Bendi ya Polisi ikiongozwa na ASP Kulwa ikipiga wimbo wa taifa kwa heshima ya Balozi Aboua wa Cote d'Ivoire nchini (hayupo pichani)
Picha na Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali.
|
Thursday, July 3, 2014
PRESS RELEASE
SADC/ICGLR MINISTERIAL MEETING PRESS RELEASE
The second joint ministerial meeting of the Southern Africa Development
Cooperation (SADC) and the International Conference on the Great Lakes Region
(ICGLR) countries was concluded in Luanda July 2, 2014 with concrete steps to
finding sustainable peace in the region.
The well attended meeting by all country members
represented by foreign and defence ministers deliberated heavily on a single
agenda of voluntarily disarmament of the Democratic Forces for the Liberation
of Rwanda (FDLR).
Hon. Bernard Membe, Minister for Foreign Affairs and
International Cooperation, led the Tanzania delegation whereby the Tanzania
Defence Minister was represented by the Tanzanian Army Chief of Staff Lt. Gen. Samuel
Ndomba.
FDLR a politico-military organization whose
combatants are exclusively freedom fighters originally from Rwanda settled in
DRC, wrote an appeal letter to SADC secretariat expressing their readiness to
surrender and hand over their weaponry to African relevant authorities. The
letter also requested assistance from the organ to oversee the process of Disarm,
Demobilize, Repatriate, Resettle and Re-integrate (DDRRR) in accordance to the
directives of other neighbouring countries including Tanzania.
Apart from accepting the said letter, SADC
member states welcomed the FDLR willingly surrender and adherence to the DDRRR
process. They however strongly suggested other stakeholders such as AU, UN and ICGLR
to oversee the process while Rwanda and DRC were urged to take part in the
process.
In a joint session, delegates discussed the
provisional six-month time frame given to the FDLR to complete the DDRRR
process as proposed by the technical experts meeting prior to ministerial
meeting. Democratic Republic of Congo (DRC) supported by majority countries
including Tanzania insisted that the allocated timeframe was right while Rwanda
claimed the past experiences proved 3 months to be enough.
However the chair and the host of the said meeting, Angola,
ruled out for the six months proposal but should be revised by the third month
to gauge progress.
It is the expectation of all countries in
attendance that the DDRRR process is implemented within the given time frame
with full engagement of both DRC and Rwanda.
The ICGLR/SADC member countries also urged international community
and neighbouring countries to join hands with DRC and Rwanda in this historical
peace - making process.
The third meeting of this nature is expected to take place
within the next three months.
Issued
by:
Government
Communication Unit;
Ministry
of Foreign Affairs and International Cooperation, Dar es Salaam
03rd July, 2014
Mhe. Rais apokea Hati za Utambulisho za Balozi wa Romania hapa nchini
Balozi Pataki akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) mara baada ya Balozi huyo kuwasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Mhe. Rais Kikwete. |
Bendi ya Polisi. |
Mhe. Rais Kikwete apokea Hati za Utambulisho za Balozi wa Sri Lanka nchini
Balozi Kananathan akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) mara baada ya kuwasilisha kwa Rais Hati zake za Utambulisho. |
Balozi Kananathan akisalimiana na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Rajabu Gamaha. |
Balozi Kananathan akisalimiana na Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mmabo ya Nje na Ushirkiano wa Kimataifa, Balozi Mbelwa Kairuki. |
Balozi Kananathan akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu |
Balozi Kananathan akipigiwa wimbo wa taifa lake kwa heshima yake. Wengine ni Mkurugenzi na Mkuu wa Itifaki, Balozi Mohammed Juma Maharage (kulia) na Mnikulu, Shaaban Gurumo (kushoto) |
Bendi ya Polisi ikipiga wimbo wa taifa |
Balozi Kananathan akipeana mkono na Kiongozi wa Bendi ya Polisi, ASP Mayala Kulwa |
Maafisa Mambo ya Nje, Bw. James Bwana na Mercy Kitonga wakisikiliza wimbo wa taifa ulipopigwa wakati wa kumkaribisha Ikulu Balozi wa Sri Lanka hapa nchini (hayupo pichani) |
Rais Kikwete apokea Hati za Utambulisho za Balozi wa Poland nchini
Balozi Ziolkowski akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) mara baada ya kuwasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Mhe. Rais Kikwete. |
Balozi Ziolkowski akisikiliza Wombo wa Taifa lake ukipigwa kwa heshima yake mara baada ya kuwasili Ikulu. Kulia ni Mkurugenzi na Mkuu wa Itifaki, Balozi Mohammed Juma Maharage na kushoto ni Mnikulu, Bw. Shaaban Gurumo |
Bendi ya Polisi ikiongozwa na ASP Mayala Kulwa wakipiga nyimbo za taiafa za Tanzania na Poland kwa heshima ya Balozi wa Poland hapa nchini |
Mwanamfalme Akishino wa Japan awasili nchini kwa ziara rasmi
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb.) akizungumza na Mwanamfalme Akishino wa Japan mara baada ya Mwanamfalme huyo kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuanza ziara yake ya siku tano hapa nchini. |
Mhe. Mahadhi na Mwanamfalme Akishino wa Japan wakiendelea na mazungumzo huku Mke wa Mwanamfalme huyo (kulia) pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Japan, Mhe. Salome Sijaona (kushoto) na Balozi wa Japan hapa nchini, Mhe. Masaki Okada wakisikiliza. |
Mazungumzo yakiendelea. |
Kaimu Katibu Mkuu atembelea Banda la Wizara kwenye Maonesho ya Sabasaba
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Rajabu Gamaha akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili kwenye Banda la Maonesho la Wizara katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere ambako Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanafanyika. Wengine wanaoshuhudia ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, Bw. Mkumbwa Ally (mwenye suti) na Bw. Mashaka Chikoli, Afisa kutoka Idara ya Sera na Mipango. |
Balozi Gamaha akizungumza na Watangazaji kutoka Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kuhusu umuhimu wa ushiriki wa Wizara kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa kuwa ni pamoja na kutoa taarifa kuhusu utekelezaji wa Diplomasia ya Uchumi ambayo imejikita kwenye kukuza biashara, kuvutia watalii na kutangaza fursa za uwekezaji kupitia Balozi za Tanzania nje ya nchi. |
Bw. Chikoli akizungumza na mmoja wa wananchi waliofika kutembelea Banda la Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. |
Balozi Gamaha akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa kutoka Wizarani na Taasisi zilizo chini ya Wizara ambazo ni APRM, AICC na Chuo cha Diplomasia (CFR). Picha na Reginald Philip |
Subscribe to:
Posts (Atom)