Friday, July 4, 2014

Courtesy Call

Hon. Bernard K. Membe, Minister for Foreign Affairs and International Cooperation pays a courtesy call  to His Eminence Polycarp Cardinal Pengo, Archbishop of the Dar es salaam Archdiocese of the Roman Catholic Church at his residence in Kurasini, Dar es salaam.


Rais Kikwete apokea Hati za Utambulisho za Balozi wa Malaysia na Cote d'Ivoire nchini


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea Hati za Utambulisho za Balozi wa Malaysia nchini mwenye makazi yake Nairobi, Kenya, Mhe. Ismail Salem. Haf;la hiyo fupi ilifanyika Ikulu, Dar es Salaam tarehe 4 Julai, 2014.
Mhe. Rais akimtambulisha Balozi Salem kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. John Haule.
Mhe. Balozi Salem akisalimiana na Balozi Mbelwa Kairuki, Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
Balozi Salem akisalimiana na Afisa Mambo ya Nje, Bw. Khatib Makenga.
Mhe. Rais Kikwete akizungumza na Balozi Salem mara baada ya kupokea hati zake za utambulisho
Balozi Salem akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu kwa ajili ya kukabidhi hati zake za Utambulisho.
Balozi Salem akisikiliza Wimbo wa Taifa lake mara baada ya kuwasili Ikulu. Wengine katika picha ni Balozi Mohammed Maharage Juma, Mkurugenzi na Mkuu wa Itifaki na Mnikulu, Bw. Shaaban Gurumo.
Bendi ya Polisi ikipiga wimbo wa taifa la Malaysia kwa heshima ya Balozi wake (hayupo pichani). 

....Balozi wa Cote d'Ivoire nae awasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais

Mkurugenzi na Mkuu wa Itifaki, Balozi Mohammed Maharage Juma (katikati) akimtambulisha Balozi wa Cote d'Ivoire nchini mwenye makazi yake mjini Nairobi, Kenya, Mhe. Georges Aboua kwa Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kabla Balozi huyo hajawasilisha Hati za Utambulisho
Balozi Aboua akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Mhe. Rais Kikwete.
Mhe. Rais Kikwete akimtambulisha kwa Balozi Aboua Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. John Haule.
Balozi Aboua akisalimiana na Mkurugenzi wa Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Vincent Kibwana.
Balozi Aboua akisalimiana na Afisa Mambo ya Nje, Bw. Selestine Kakele.
Rais Kikwete katika picha ya pamoja na Balozi Aboua (kushoto) na Afisa aliyefuatana na Balozi huyo.
Rais Kikwete akizungumza na Balozi Aboua.
Balozi Aboua akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu.
Balozi Aboua akisikiliza wimbo wa taifa lake mara baada ya kuwasili Ikulu. Wengine katika picha ni Balozi Mohammed Maharage Juma, Mkurugenzi na Mkuu wa Itifaki pamoja na Mnikulu, Bw. Shaaban Gurumo.
Bendi ya Polisi ikiongozwa na ASP Kulwa ikipiga wimbo wa taifa kwa heshima ya Balozi Aboua wa Cote d'Ivoire nchini (hayupo pichani)

Picha na Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali.


Thursday, July 3, 2014

PRESS RELEASE

Hon. Bernard K. Membe, Minister for Foreign Affairs and International Cooperation giving country's position during the joint SADC/ICGLR Ministerial Meeting held in Luanda, Angola July 2, 2014. Left to the Minister is the Tanzanian Army Chief of Staff, Lt. Gen. Samuel Ndomba.



SADC/ICGLR MINISTERIAL MEETING PRESS RELEASE



The second joint ministerial meeting of the Southern Africa Development Cooperation (SADC) and the International Conference on the Great Lakes Region (ICGLR) countries was concluded in Luanda July 2, 2014 with concrete steps to finding sustainable peace in the region.


The well attended meeting by all country members represented by foreign and defence ministers deliberated heavily on a single agenda of voluntarily disarmament of the Democratic Forces for the Liberation of Rwanda (FDLR).

Hon. Bernard Membe, Minister for Foreign Affairs and International Cooperation, led the Tanzania delegation whereby the Tanzania Defence Minister was represented by the Tanzanian Army Chief of Staff Lt. Gen. Samuel Ndomba.  


FDLR a politico-military organization whose combatants are exclusively freedom fighters originally from Rwanda settled in DRC, wrote an appeal letter to SADC secretariat expressing their readiness to surrender and hand over their weaponry to African relevant authorities. The letter also requested assistance from the organ to oversee the process of Disarm, Demobilize, Repatriate, Resettle and Re-integrate (DDRRR) in accordance to the directives of other neighbouring countries including Tanzania.

Apart from accepting the said letter, SADC member states welcomed the FDLR willingly surrender and adherence to the DDRRR process. They however strongly suggested other stakeholders such as AU, UN and ICGLR to oversee the process while Rwanda and DRC were urged to take part in the process.  

In a joint session, delegates discussed the provisional six-month time frame given to the FDLR to complete the DDRRR process as proposed by the technical experts meeting prior to ministerial meeting. Democratic Republic of Congo (DRC) supported by majority countries including Tanzania insisted that the allocated timeframe was right while Rwanda claimed the past experiences proved 3 months to be enough.


However the chair and the host of the said meeting, Angola, ruled out for the six months proposal but should be revised by the third month to gauge progress.


It is the expectation of all countries in attendance that the DDRRR process is implemented within the given time frame with full engagement of both DRC and Rwanda.

The ICGLR/SADC member countries also urged international community and neighbouring countries to join hands with DRC and Rwanda in this historical peace - making process.  
The third meeting of this nature is expected to take place within the next three months.


Issued by:
Government Communication Unit;
Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation, Dar es Salaam

03rd July, 2014



Mhe. Rais apokea Hati za Utambulisho za Balozi wa Romania hapa nchini


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa mHE. Julia Pataki, Balozi wa Romania hapa nchini mwenye makazi yake Nairobi, Kenya. Hafla hiyo fupi ilifanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 03 Julai, 2014.
Balozi Pataki akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) mara baada ya Balozi huyo kuwasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Mhe. Rais Kikwete.
Balozi Pataki akisalimiana na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Rajabu Gamaha aliyekuwepo wakati Balozi huyo anawasilisha Hati za Utambulisho kwa Mhe. Rais.
Balozi Pataki akisikiliza wimbo wa taifa wa Romania kutoka kwa Bendi ya Polisi (hawapo pichani). Wengine katika picha ni Balozi Mohammed Juma Maharage (kulia), Mkurugenzi na Mkuu wa Itifaki na Bw. Shaaban Gurumo, Mnikulu.
Bendi ya Polisi.

Mhe. Rais Kikwete apokea Hati za Utambulisho za Balozi wa Sri Lanka nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Mhe. Kana V. Kananathan, Balozi wa Sri Lanka nchini mwenye makazi yake Kampala, Uganda. Hafla hiyo ilifanyika Ikulu, Dar es Salaam tarehe 03 Julai, 2014.
Balozi Kananathan akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) mara baada ya kuwasilisha kwa Rais Hati zake za Utambulisho.
Balozi Kananathan akisalimiana na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Rajabu Gamaha.
Balozi Kananathan akisalimiana na Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mmabo ya Nje na Ushirkiano wa Kimataifa, Balozi Mbelwa Kairuki.
Balozi Kananathan akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu
Balozi Kananathan akipigiwa wimbo wa taifa lake kwa heshima yake. Wengine ni Mkurugenzi na Mkuu wa Itifaki, Balozi Mohammed Juma Maharage (kulia) na Mnikulu, Shaaban Gurumo (kushoto)
Bendi ya Polisi ikipiga wimbo wa taifa
Balozi Kananathan akipeana mkono na Kiongozi wa Bendi ya Polisi, ASP Mayala Kulwa
Maafisa Mambo ya Nje, Bw. James Bwana na Mercy Kitonga wakisikiliza wimbo wa taifa ulipopigwa wakati wa kumkaribisha Ikulu Balozi wa Sri Lanka hapa nchini (hayupo pichani)

Rais Kikwete apokea Hati za Utambulisho za Balozi wa Poland nchini


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Mhe. Marek Ziolkowski  ambaye ni Balozi wa Poland nchini Tanzania mwenye makazi yake Nairobi, Kenya. Hafla hiyo ilifanyika Ikulu, Dar es Salaam tarehe 03 Julai, 2014.
Balozi Ziolkowski akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) mara baada ya kuwasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Mhe. Rais Kikwete.


Balozi Ziolkowski akisalimiana na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Rajabu Gamaha huku Mhe. Membe na Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika, Balozi Joseph Sokoine wakishuhudia.

Balozi Ziolkowski akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu.

Balozi Ziolkowski akisikiliza Wombo wa Taifa lake ukipigwa kwa heshima yake mara baada ya kuwasili Ikulu. Kulia ni Mkurugenzi na Mkuu wa Itifaki, Balozi Mohammed Juma Maharage na kushoto ni Mnikulu, Bw. Shaaban Gurumo
Bendi ya Polisi ikiongozwa na ASP Mayala Kulwa wakipiga nyimbo za taiafa za Tanzania na Poland kwa heshima ya Balozi wa Poland hapa nchini

Mwanamfalme Akishino wa Japan awasili nchini kwa ziara rasmi

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb.) akizungumza na Mwanamfalme Akishino wa Japan mara baada ya Mwanamfalme huyo kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuanza ziara yake ya siku tano hapa nchini.
Mhe. Mahadhi na Mwanamfalme Akishino wa Japan wakiendelea na mazungumzo huku Mke wa Mwanamfalme huyo (kulia) pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Japan, Mhe. Salome Sijaona (kushoto) na Balozi wa Japan hapa nchini, Mhe.  Masaki Okada wakisikiliza.
Mazungumzo yakiendelea.

Vacancy Announcement


Kaimu Katibu Mkuu atembelea Banda la Wizara kwenye Maonesho ya Sabasaba

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Rajabu Gamaha akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili kwenye Banda la Maonesho la Wizara katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere ambako Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanafanyika. Wengine wanaoshuhudia ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, Bw. Mkumbwa Ally (mwenye suti) na Bw. Mashaka Chikoli, Afisa kutoka Idara ya Sera na Mipango.
Balozi Gamaha akizungumza na Watangazaji  kutoka Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kuhusu umuhimu wa ushiriki wa Wizara kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa kuwa ni pamoja na  kutoa taarifa kuhusu utekelezaji wa Diplomasia ya Uchumi ambayo imejikita kwenye kukuza biashara, kuvutia watalii na kutangaza fursa za uwekezaji kupitia Balozi za Tanzania nje ya nchi.
 Bw. Chikoli akizungumza na mmoja wa wananchi waliofika kutembelea Banda la Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
Balozi Gamaha akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa kutoka Wizarani na Taasisi zilizo chini ya Wizara ambazo ni APRM, AICC na Chuo cha Diplomasia (CFR).

Picha na Reginald Philip