Thursday, August 18, 2016

Waziri Mahiga akutana na Balozi wa Israel nchini


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga akizungumza na Balozi wa Israel nchini Mhe. Yahel Vilan alipomtembelea katika ofisi za Wizara Jijini Dar es Salaam leo tarehe 18 Agosti, 2016. Katika mazumgumzo yao walijadili namna ya kuimarisha ushirikiano baina ya mataifa yao hususan katika sekta za Kilimo, Elimu na Masuala ya kuwawezesha Wanawake katika kufikia maendeleo.
Mhe. Yahel akimweleza Waziri Mahiga namna Serikali ya Israel ilivyofanikiwa katika miradi ya kilimo na umwagiliaji ambayo imesaidia katika kuwahakikishia wananchi wake upatikanaji wa chakula.
Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Abdallah Kilima (wa kwanza kushoto) pamoja na Maafisa  Mambo ya Nje  Bw. Hangi Mgaka (wa pili kushoto) na Bi. Kisa Doris Mwaseba wakifuatilia mazungumzo
Mazungumzo yakiendelea
Wakijadili jambo mara baada ya mazungumzo

Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje akutana na Mkurugenzi wa Kampuni ya SMH RAIL ya Malaysia

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi, Dkt. Aziz Mlima (kulia) akizungumza na Mkurugenzi wa Masoko wa SMH RAIL Bw. S. Rajamohan ya Malaysia alipomtembelea katika ofisi za Wizara Jijini Dar es Salaam. Katika mazungumzo yao walijadili kuhusu fursa za uwekezaji zilizopo nchini hususan katika miundombinu ya reli.
Bw. S. Rajamohan akielezea namna kampuni ya SMH RAIL inavyofanya shughuli zake na utayari wao wa kuja kuwekeza nchini.
Mazungumzo yakiendelea



Wednesday, August 17, 2016

Waziri Mahiga apokea hati za utambulisho za Mwakilishi mpya wa WFP nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Mwakilishi mpya wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) hapa nchini, Bw. Michael Dunford. Hafla hiyo fupi ilifanyika Wizarani tarehe 17 Agosti, 2016.
Mhe. Waziri Mahiga akizungumza na Bw. Dunford mara baada ya kupokea hati zake za utambulisho
Bw. Dunford nae akimweleza jambo Mhe. Waziri
Mazungumzo kati ya Mhe. Mahiga na Bw. Dunford yakiendelea. Wengine katika picha ni Bi. Eva Ng'itu (kushoto) na Bi. Sekela Mwambegele, Maafisa Mambo ya Nje.

Tuesday, August 16, 2016

WAHESHIMIWA MABALOZI WAJITOKEZA KUSAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO

Mwakilishi wa Ubalozi wa Finland Nchini Bw. Simo-Pekla Perviainen (aliyeketi) akisaini Kitabu cha Maombolezo ya Kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Alhaji Aboud Jumbe Mwinyi katika Ofisi ya Makamu wa Rais Jijini Dar es Salaam
Balozi wa Jamhuri ya Msumbiji Nchini Mhe. Monica Patricio Clement Mussa akisaini Kitabu cha Maombolezo ya Kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Alhaji Aboud Jumbe Mwinyi katika Ofisi ya Makamu wa Rais Jijini Dar es Salaam
Kaimu Balozi wa Burundi Nchini Bw. Prefere Ndayishimiye akisaini Kitabu cha Maombolezo ya Kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Alhaji Aboud Jumbe Mwinyi katika Ofisi ya Makamu wa Rais Jijini Dar es Salaam
Mwakilishi wa Ubalozi wa Angola Nchini Bw. Joel Cumbo akisaini Kitabu cha Maombolezo ya Kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Alhaji Aboud Jumbe Mwinyi katika Ofisi ya Makamu wa Rais Jijini Dar es Salaam
Kaimu Balozi wa Jamhuri ya Watu wa Sudan Bw. Abuzied Shamseldin  Ahmed akisaini Kitabu cha Maombolezo ya Kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Alhaji Aboud Jumbe Mwinyi katika Ofisi ya Makamu wa Rais Jijini Dar es Salaam
Balozi wa Cuba Nchini Mhe. Jorge Luis Tormo akisaini Kitabu cha Maombolezo ya Kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Alhaji Aboud Jumbe Mwinyi katika Ofisi ya Makamu wa Rais Jijini Dar es Salaam

Waziri Mahiga aomboleza kifo cha Hayati Aboud Jumbe Mwinyi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga akisaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Alhaji Aboud Jumbe Mwinyi kilichotokea tarehe 14 Agosti, 2016 Jijini Dar es Salaam. Mhe. Mahiga alisaini kitabu hicho  aliposhiriki mazishi ya Hayati Alhaji Aboud Jumbe yaliyofanyika Zanzibar tarehe 15 Agosti, 2016.

Friday, August 12, 2016

Waziri Mahiga azungumza na Waandishi wa Habari


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe.Balozi Dkt. Augustine Mahiga (katikati) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani)  kuhusu  Mkutano wa 18 wa  Kamati ya Mawaziri ya Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama  ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika-SADC  uliofanyika Maputo, Msumbiji kuanzia tarehe 1-5 Agosti, 2016. Mkutano huo pamoja na mambo mengine ulizungumzia hali ya usalama na amani katika nchi za Lesotho, DRC na Madagascar.
Mhe. Waziri Mahiga akiwaeleza waandishi kuhusu 
Kitabu cha Harakati za Ukombozi katika Nchi za Kusini mwa Afrika ambacho kimepewa jina la Hashim Mbita  kufuatia mchango Mkubwa wa Hayati Brigedia Jenerali (Mstaafu) Balozi Hashimu Mbita katika harakati za ukombozi na uandishi wa kitabu hicho.Wengine katika picha ni Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kikanda, Balozi Innocent Shiyo na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, Bi. Mindi Kasiga.
 Mkutano huo ukiendelea

Thursday, August 11, 2016

BALOZI HAULE AAGWA NAIROBI

Mhe. Haule akiongea wakati wa hafla ya kumuaga jana. Kushoto ni mkewe Mary.
Mhe. Balozi Haule (aliyeketi katikati) katika picha ya pamoja na Maofisa Ubalozi. Kushoto ni  Mama Mary Haule na Kulia ni Mkuu wa Utawala Ubalozini, Bi. Talha Waziri.
Mwakilishi wa Watanzania waishio Kenya, Bw. Victor Matemba akitoa salamu zao kwa Mhe. Haule.

Mhe. Haule na mkewe katika picha ya pamoja na watumishi wa Ubalozi wanaotoka Kenya (Local staff).

Wednesday, August 10, 2016

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atembelea Kiwanda cha kushona nguo cha Tooku

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akikagua ushonaji wa suruali za Jeans wakati alipotembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam Agosti 10, 2016.  Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa  Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dr. Adelhem Meru na wapili kushoto ni Meneja Mkuu Msaidizi wa kiwanda hicho, Rigobert Massawe.


Mfano wa suruali ya Jeans zinazotengenezwa na kiwanda hicho zikiwa na utambulisho wa kutengenezwa nchini Tanzania. Hivi sasa kiwanda kimeanzisha programu ya kutoa mafunzo kwa vijana 400 kila mwezi katika miezi 12 na ifikapo mwisho wa mwaka jumla ya watanzania 6000 watakuwa wameajiriwa. 
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akikagua ushonaji wa suruali za Jeans wakati alipotembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam Agosti 10, 2016.  Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa  Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dr. Adelhem Meru na wapili kushoto ni Meneja Mkuu Msaidizi wa kiwanda hicho, Rigobert Massawe.
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akikagua ushonaji wa suruali za Jeans wakati alipotembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam  Agost 10, 2016 .  Kulia ni Balozi wa China nchini, Dkt Lu Youqing na kushoto ni Meneja Mkuu Msaidizi wa kiwanda hicho, Rigobert Massawe.
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza  baada ya kutembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam Agost 10, 2016.
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa kiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa kiwanda cha kushona nguo cha  Tooku kilichopo eneo la EPZ,Mabibo External jijini Dar es salaam baada ya kutembelea kiwanda hicho na kuzungumza, Agosti 10,2016.  Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dkt. Adelhem Meru na kulia kwake ni Balozi wa China nchini, Dkt. Lu Youqing. 

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atembelea Kiwanda cha kushona nguo cha Tooku

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ushonaji wa suruali za Jeans wakati alipotembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam Agosti 10, 2016.  Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa  Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dr. Adelhem Meru na wapili kushoto ni Meneja Mkuu Msaidizi wa kiwanda hicho, Rigobert Massawe.


Mfano wa Jeans zinazotengenezwa na kiwanda hicho zikiwa na utambulisho wa kutengenezwa nchini Tanzania. Hivi sasa kiwanda kimeanzisha programu ya kutoa mafunzo kwa vijana 400 kila mwezi katika miezi 12 na ifikapo mwisho wa mwaka jumla ya watanzania 6000 watakuwa wameajiriwa. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ushonaji wa suruali za Jeans wakati alipotembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam Agosti 10, 2016.  Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa  Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dr. Adelhem Meru na wapili kushoto ni Meneja Mkuu Msaidizi wa kiwanda hicho, Rigobert Massawe.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ushonaji wa suruali za Jeans wakati alipotembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam  Agost 10, 2016 .  Kulia ni Balozi wa China nchini, Dkt Lu Youqing na kushoto ni Meneja Mkuu Msaidizi wa kiwanda hicho, Rigobert Massawe.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza  baada ya kutembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam Agost 10, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa kiwanda cha kushona nguo cha  Tooku kilichopo eneo la EPZ,Mabibo External jijini Dar es salaam baada ya kutembelea kiwanda hicho na kuzungumza, Agosti 10,2016.  Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dkt. Adelhem Meru na kulia kwake ni Balozi wa China nchini, Dkt. Lu Youqing. 

Waziri Mkuu Majaliwa Kassim atembelea Kiwanda cha kushona nguo cha Tooku

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ushonaji wa suruali za Jeans wakati alipotembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam Agosti 10, 2016.  Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa  Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dr. Adelhem Meru na wapili kushoto ni Meneja Mkuu Msaidizi wa kiwanda hicho, Rigobert Massawe.


Mfano wa Jeans zinazotengenezwa na kiwanda hicho zikiwa na utambulisho wa kutengenezwa nchini Tanzania. Hivi sasa kiwanda kimeanzisha programu ya kutoa mafunzo kwa vijana 400 kila mwezi katika miezi 12 na ifikapo mwisho wa mwaka jumla ya watanzania 6000 watakuwa wameajiriwa. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ushonaji wa suruali za Jeans wakati alipotembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam Agosti 10, 2016.  Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa  Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dr. Adelhem Meru na wapili kushoto ni Meneja Mkuu Msaidizi wa kiwanda hicho, Rigobert Massawe.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ushonaji wa suruali za Jeans wakati alipotembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam  Agost 10, 2016 .  Kulia ni Balozi wa China nchini, Dkt Lu Youqing na kushoto ni Meneja Mkuu Msaidizi wa kiwanda hicho, Rigobert Massawe.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza  baada ya kutembelea kiwanda cha kushona nguo cha Tooku kilichopo kwenye eneo la EPZ, Mabibo External jijini Dar es salaam Agost 10, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa kiwanda cha kushona nguo cha  Tooku kilichopo eneo la EPZ,Mabibo External jijini Dar es salaam baada ya kutembelea kiwanda hicho na kuzungumza, Agosti 10,2016.  Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Dkt. Adelhem Meru na kulia kwake ni Balozi wa China nchini, Dkt. Lu Youqing. 

Vikao vya Maandalizi ya Kongamano la tatu la Diaspora vyaendelea Jijini Dar es Salaam

Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi, Anisa Mbega (katikati) akiongoza kikao cha maandilizi ya Kongamano la tatu la Diaspora kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere, pembeni yake ni wajumbe wengine wa meza kuu. Kongamano hilo linatarajiwa kufanyika Zanzibar tarehe 24 – 25 Agosti, 2016
Sehemu ya wajumbe wakifuatilia wakifuatilia kikao kwa makini
Sehemu nyingine ya wajumbe wakifuatilia  kikao
Mwakilishi wa Diaspora Italy na VICOBA International Bw. Mwinyimwaka Hatibu akichangia jambo kwenye kikao cha maandilizi ya Kongamano la tatu la Diaspora kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere. Kongamano hilo linalotarajiwakufanyika Zanzibar tarehe 24 – 25 Agosti, 2016

Naibu Waziri apokea hati za uwakilishi za Makonseli kutoka China na India Visiwani Zanzibar

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na UShirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Susan Kolimba (Mb.) akipokea Hati ya Uwakilishi kutoka kwa Konseli Mkuu kutoka Jamhuri ya Watu wa China, Bw. Xie Xiaow Visiwani Zanzibar
Mhe. Kolimba akifanya mazungumzo na Bw. Xie Xiaowu mara baada ya kupokea hati zake za utambulisho.




...Wakati huohuo Naibu Waziri alipokea hati za uwakilishi za Konseli Mkuu wa India nchini
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na UShirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Susan Kolimba (Mb.) akipokea Hati ya Uwakilishi kutoka kwa Konseli Mkuu kutoka Jamhuri ya India, Bw. T.C Barupal ambaye ataiwakilisha India Visiwani Zanzibar
Mhe. Kolimba akifanya mazungumzo na Bw. Barupal mara baada ya kupokea hati zake za utambulisho.