Monday, May 12, 2014

Mhe. Membe amwakilisha Mhe. Rais Kikwete kushuhudia uwekaji saini mkataba wa ujenzi wa Reli kati ya Kenya na China

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) wa tatu kutoka kushoto waliosimama) kwa pamoja na viongozi wengine   akiwemo Rais wa Rwanda, Mhe. Paul Kagame, Waziri Mkuu wa China, Mhe. Li Keqiang, Rais wa Kenya, Mhe. Uhuru Kenyatta, Rais wa Uganda, Mhe. Yoweri Museveni na Rais wa Sudan Kusini, Mhe. Salva Kiir wakishuhudia kusainiwa kwa Mkataba wa Ujenzi wa Reli ya kisasa  Afrika Mashariki kati ya Serikali ya Kenya na China. Mhe. Membe alimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.

Mhe. Membe wakati wa mkutano kabla ya mkataba kusainiwa.

Waziri Membe akimsikiliza Waziri Mkuu wa China, Mhe. Li Keqiang wakati wa mazungumzo.

Mkutano wa viongozi ukiendelea.

Rais Museveni akiongea kwa niaba ya viongozi waalikwa waliohudhuria uwekaji saini wa Mkataba wa Ujenzi wa Reli kati ya Serikali ya China na Kenya.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.