Thursday, May 29, 2014

Konga mano la Nyumba kufanyika Dubai

Balozi Mdogo wa Tanzania nchini Dubai Bw. Omari Mjenga akifanya mazungumza na Nehemiah Mchechu (kulia) Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) alipo mtembelea Ofisini kwake Jijini Dubai, mazungumzo hayo yalihusu maandalizi ya Kongamano la uwekezaji katika sekta ya nyumba litakalofanyika Jumeirah Madnat Hotel Dubai. Kongamano  hilo limeandaliwa na Ubalozi Mdogo wa Tanzania uliopo Dubai kwa kushirikiana na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) katika Kongamano hilo makampuni makubwa ya sekta ya nyumba dubai na mengine kutoka Nchi za Muungano wa Ukanda wa Mashariki ya Kati yatashiriki.

Mazungumzo yakiendelea


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.