Saturday, May 10, 2014

Uchaguzi Afrika Kusini ulikuwa huru na wa haki:SADC

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb.)-kushoto  akiwa na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Lesotho na Namibia pamoja na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), Dkt. Stergomena Tax (Kulia) wakati wa mkutano na Waandishi wa Habari kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Afrika Kusini. SADC ilikuwa ni miongoni mwa Vyombo vya kikanda na kimataifa vilivyosimamia uchaguzi huo. Katika taarifa yake Waangalizi wa SADC walisema kuwa uchaguzi huo ulikuwa huru wa haki na uwazi pia amani na utulivu vilitawala.

Baadhi ya Wageni waalikwa na Waandishi wa Habari wakati wa mkutano huo.
Mhe. Dkt. Maalim akiwa katika picha ya pamoja na Dkt. Tax.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.