Friday, May 9, 2014

Naibu Katibu Mkuu akutana na Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje anayeshughulikia masuala ya Afrika nchini Thailand

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Rajabu Gamaha akizungumza na Katibu Mkuu anayeshughulikia masuala ya Asia ya Kusini, Mashariki ya Kati na Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Thailand.Bwa. Manopchai Vongpakdi. Bw. Katibu Mkuu huyo anaongoza Ujumbe wa watu tisa  ambao upo nchini kwa ziara ya kikazi ya siku mbili yenye lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania.
Bwa. Vongpakdi nae akichangia jambo wakati wa akizungumza na
Balozi Rajabu Gamaha.

Mazungumzo yakiendelea huku wajumbe wengine wakifuatilia.
Bw. Manopchai Vongpakdi akimkabidhi Balozi Gamaha zawadi ya michoro mashuhuri nchini Thailand mara baada ya mazungumzo yao.

Picha na Reginald Philip

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.