Thursday, May 29, 2014

Maadhimisho ya siku ya walinda Amani ya Umoja wa Mataifa yafanyika Dar

Waziri wa Ulinzi Dkt. Hussein Mwinyi akihotubia katika maadhimisho ya siku ya walinda Amani wa Umoja wa Mataifa yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja.

Mabalozi wakimsikiliza Waziri Mwinyi (hayupo pichani).
Dkt. Mwinyi akiweka Shada katika mnara wa Mashujaa kuashiria kuwakumbuka walindaamani waliopoteza maisha duniani kote. 

Mabalozi mbalimbali wanao ziwakilisha Nchi zao hapa nchin nao walihudhuria maadhimisho hayo
Waziri waulinzi Dkt. Mwinyi akiagana na mabalozi waliohudhuria maadhimisho hayo

Dkt. Mwinyi akiagana na walinda Amani mara baada ya kumalizaka kwa sherehe hizo 

Waziri wa Ulinzi akiongea na waandishi wa habari.

Picha na Hassara Kilalika


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.