Thursday, May 15, 2014

Balozi wa Tanzania nchini Urusi aapishwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha  Lt. Gen. Wynjones Mattew Kisamba kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi. Hafla hiyo fupi ilifanyika Ikulu, Dar es Salaam tarehe 15 Mei 2014.
Picha ya Pamoja
Mhe. Rais Kikwete akiwa kwenye picha ya pamoja na Familia ya Balozi Kisamba

Balozi Kisamba akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika Bibi Victoria Mwakasege mara baada ya kuapishwa.

Picha na Reginald Philip


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.