Saturday, April 11, 2015

Balozi Kairuki akutana na Balozi wa India kuzungumzia Mahusiano kati ya Tanzania na India

 Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Mbelwa Kairuki (kulia) akiwa na Balozi wa India hapa Nchini Mhe. Debnath Shaw wakiwa katika mazungumzo yaliyohusu kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa muda mrefu kati ya Tanzania na India.
Balozi wa India hapa Nchini Bw.Debnath Shaw,akisisitiza jambo kwa Balozi Mbelwa Kairuki katika mkutano huo,huku afisa mwandamizi Wizara ya Mambo ya Nje Bw.Luangisa EFL(kulia) akisikiliza kwa makini na kushoto ni katibu Muktasi wa balozi wa India hapa nchini Bi.Deepay naye akifuatilia mazungumzo hayo.
Balozi Mbelwa Kairuki akizungumza na afisa mwandamizi wa wizara ya Nje Bw.Luangisa huku Balozi wa India na Katibu wake wakifuatilia kwa makini.
………………………………
Picha na Reuben Mchome

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.