Wednesday, April 15, 2015

Waziri Membe awasili Nchini Kuwait

Mhe. Bernard Membe akiwasili hotelini nchini Kuwait kwa ziara ya siku moja ambapo atakutana na kufanya mzaungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait na Mkurugenzi Mkuu wa Kuwait Fund.
Mhe. Membe na ujumbe wake wakimsikiliza Mhe. Najib na kuangalia picha za viongozi mbalimbali wa Kuwait. 
Waziri Membe kwenye picha ya pamoja na baadhi na Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao kwenye nchi ya Kuwait na Tanzania. (Wa kwanza kushoto) ni Mhe. Prof. Abdillah Omari, Balozi wa Tanzania nchini Kuwait mwenye makazi yake Saudia Arabia na (kulia) ni Mhe. Nassem Ibrahim Al Najib, Balozi wa Kuwait nchini Tanzania.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.