Thursday, April 30, 2015

Mkurugenzi wa Ushirikiano wa Kimataifa azungumza na Mabalozi wa EU, Ujerumani na Ufaransa hapa nchini

Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa nchini, Mhe. Filberto Ceriani Sebregondi (mwenye tai nyeusi) akizungumza na Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy (wa pili kulia). Wengine katika picha ni Balozi wa Ufaransa hapa nchini, Mhe. Malika Berak (kulia kwa Balozi Filberto) na Bi. Eliet Magogo, Afisa Mambo ya Nje
Mazungumzo yakiendelea
Balozi Sebregondi akiwa na Balozi Berak na Mhe. Egon Kochanke (mwenye tai ya kijani), Balozi wa Ujerumani hapa nchini na Wajumbe waliofuatana nao wakimsikiliza Balozi Mushy ambaye hayupo pichani.
Balozi Sebregondi akifafanua jambo wakati wa mazungumzo yao na Balozi Mushy (hayupo pichani) huku Balozi Berak na Balozi Kochanke wakimsikiliza.

Picha na Reuben Mchome


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.